Majibu kwa Lissu na Pascal Mayalla

Majibu kwa Lissu na Pascal Mayalla

Mpango Kama huu wa kutafuta kiki kwa kutumia SMG siku hizi unakubarika TZ?

Mpango huu wa kipuuzi hauwezi kukubalika sehemy yoyote ile ulimwengu huu. Tatizo ni kuwa wewe unatafuta kiki kwa kutukana halafu unawekwa ndani unapata maarufu fulani. Baadaye kisheria unatolewa rumande ila kiki umeshapata. Mwingine anafanya hivyo hivyo, naye anapata kiki. Sasa wewe unataka kupata kiki kwa namna tofauti. Ndio unatafuta kwa kushambuliwa na SMG ila gari tu iumizwe wewe ubaki salama. Bahati mbaya hupangi peke yako. Unaopanga nao wanabadilisha gia angani wanapanga uuawe kabisa. Hapo majuto mjukuu. Kuwezi kusema wale waliobadilisha gia kwa sababu ni aibu kubwa. Inabidi uwanganganie wale uliotaka waonekane wamekushambulia. Sasa kwa vile dereva alishirikishwa, je naye atakubali na hiyo ajenda unayotaka ionekane wakati hakutegemea wewe udhurike???
 
Na uchunguzi wa mabomu pale Soweto Arusha umefikia wapi?

Kiongozi mkuu wa CHADEMA aliuhakikishia umma wa TZ kuwa anawajua waliorusha bomu. Marehemu Mtikila alidai kuwa lile bomu lilikuwa mpango wa CHADEMA kutafuta kiki. Waulize CDM ni lini watamtaja aliyerusha bomu Arusha mwaka ule.
 
Kiongozi mkuu wa CHADEMA aliuhakikishia umma wa TZ kuwa anawajua waliorusha bomu. Marehemu Mtikila alidai kuwa lile bomu lilikuwa mpango wa CHADEMA kutafuta kiki. Waulize CDM ni lini watamtaja aliyerusha bomu Arusha mwaka ule.
Kurusha mabomu na kupoteza roho za watu ktk siasa inaruhusiwa kisheria???
Nilifikiri unajadili .... kumbe na wewe ni hopeless kabisa.
 
Lissu alisema waziwazi kuwa dereva wake hawezi kuhojiwa bila yeye Lissu kuwepo, au hukuisikia hiyo? Wakati IGP Sirro anasermaq atawatuma maaskari kwenda Nairobi kupata maelezo ya Lissu na dereva wake ulisikia majibu ya Liassu? Kama hukuyasikia you are not bcompetent kuendelea kuchangia hii hoja. Kama uliyasikia comment in the context of the hoja.
Kwamba lisu anamammlaka yakumuamulia IGP namna yakufanya kazi?

Sent from my Infinix NOTE 3 using JamiiForums mobile app
 
Mpango huu wa kipuuzi hauwezi kukubalika sehemy yoyote ile ulimwengu huu. Tatizo ni kuwa wewe unatafuta kiki kwa kutukana halafu unawekwa ndani unapata maarufu fulani. Baadaye kisheria unatolewa rumande ila kiki umeshapata. Mwingine anafanya hivyo hivyo, naye anapata kiki. Sasa wewe unataka kupata kiki kwa namna tofauti. Ndio unatafuta kwa kushambuliwa na SMG ila gari tu iumizwe wewe ubaki salama. Bahati mbaya hupangi peke yako. Unaopanga nao wanabadilisha gia angani wanapanga uuawe kabisa. Hapo majuto mjukuu. Kuwezi kusema wale waliobadilisha gia kwa sababu ni aibu kubwa. Inabidi uwanganganie wale uliotaka waonekane wamekushambulia. Sasa kwa vile dereva alishirikishwa, je naye atakubali na hiyo ajenda unayotaka ionekane wakati hakutegemea wewe udhurike???
Hiyo SMG iliyotumika kutafutia Kiki Police wamesema pia ina milikiwa name Dereva?
 
Kaka mkubwa nilidhani utakuwa unajadili kwa fikra huru kumbe umefungwa na ubinafisi wa fikra.
Naomba nikuulize maswali ya msingi kama yafuatayo
1) Kiasi furani utakuwa umesoma au kusikia tukio lolote linapotokea ni watu gani wanakuwa wakwanza kuojiwa na jeshi au vyombo husika vya Usalama?
2)Je kila tukio la upelelezi police wanalazimika kutoa taarifa kwa jamii au wananchi husika?
3) Wewe unataka watanzania wafanye nini kuhusu kupigwa risasi 38? Na je Lissu ndie mtanzania wa kwanza kupingwa risasi na kama sio wa kwanza je waliopigwa kabla yake watanzania walifanya nini na ww ulifanya nini
Ombi langu kwako ukiwa unajadili mambo yanayogusa jamii kwa ujumla wake husiongozwe na matamanio binafisi
Namshauri Lissu atulie, apone kwqnza. Haiwezekani ajaribu kumjibu kila mtu anayeongea asiyoyapenda. Kwa spidi hii atakaa sana hospitali sababu ya kujiongezea stress.
 
Dereva wa Lissu ni mtu muhimu saaana kwenye uchunguzi. Sasa anafichwa asihojiwe. Na wanaomficha ni wadau muhimu kwenye hii kesi. Ni wazi kuna kitu hapa. Dereva anakwenda kukaa na mgonjwa Nairobi na baadaye Belgium. Mwanzoni tukadanganywa anatibiwa kisaikologia. Sasa hivi hawasemi tena. Kwa nini isiaminike kuwa anafundishwa atakavyojibu pindi wanaomficha wakimwachia? Ila ukweli utafahamika tu. Wenye akili wanapojadili kushambuliwa kwa Lissu NI LAZIMA wawaze ni kwa nini dereva anafichwa kwa gharama kubwa sana.
Wanaomficha ni chama cha chadema sasa hapo unga dots.
 
Maswali ya Nyongeza 1,.Je Km wameshindwa Kuchunguza kwanini hawataki Tume Huru kuna kitu gani nyuma ya Pazia
2, Wanao Mtuhumu dereva je ana cheo gani cha kuwaamrisha Walinzi wote wasiwepo kwenye maeneo yote
3.Ninani Hupanga zamu za walinzi
4.Je walinzi ni wa Kampuni Binafsi.
Ukitaka vijana wa Lumumba wakutukane matus yote ya nguon ww pendekeza tume huru yq uchunguz wa tukio la lissu au wachunguz wa nje yaan watashtuka na akli ztawaama kabsa ....
 
Dereva wa Lissu ni mtu muhimu saaana kwenye uchunguzi. Sasa anafichwa asihojiwe. Na wanaomficha ni wadau muhimu kwenye hii kesi. Ni wazi kuna kitu hapa. Dereva anakwenda kukaa na mgonjwa Nairobi na baadaye Belgium. Mwanzoni tukadanganywa anatibiwa kisaikologia. Sasa hivi hawasemi tena. Kwa nini isiaminike kuwa anafundishwa atakavyojibu pindi wanaomficha wakimwachia? Ila ukweli utafahamika tu. Wenye akili wanapojadili kushambuliwa kwa Lissu NI LAZIMA wawaze ni kwa nini dereva anafichwa kwa gharama kubwa sana.
Kwa hiyo Lissu anamficha na kumtetea mtu aliyetaka kumuua ......... hiki ni kituko cha karne!!
 
Ukitaka vijana wa Lumumba wakutukane matus yote ya nguon ww pendekeza tume huru yq uchunguz wa tukio la lissu au wachunguz wa nje yaan watashtuka na akli ztawaama kabsa ....
Najua kwa mtizamo wao Finyu Siraha yao pekee ni Dereva km magazeti yao yanavyo andika kwa mbwembwe kwenye vichwa vya Habari. Swali Fikirishi Kwao Je Dereva ana Cheo gani kwa Walinzi wa Eneo husika hadi siku ya tukio wasiwepo kwenye maeneo yote ya Lindo
 
Dereva wa Lissu ni mtu muhimu saaana kwenye uchunguzi. Sasa anafichwa asihojiwe. Na wanaomficha ni wadau muhimu kwenye hii kesi. Ni wazi kuna kitu hapa. Dereva anakwenda kukaa na mgonjwa Nairobi na baadaye Belgium. Mwanzoni tukadanganywa anatibiwa kisaikologia. Sasa hivi hawasemi tena. Kwa nini isiaminike kuwa anafundishwa atakavyojibu pindi wanaomficha wakimwachia? Ila ukweli utafahamika tu. Wenye akili wanapojadili kushambuliwa kwa Lissu NI LAZIMA wawaze ni kwa nini dereva anafichwa kwa gharama kubwa sana.
Hivi waliong'oa zile camera wanajulikana?
 
Nawashauri acheni habari kumtaja taja dereva whether ni kwa lengo la kuonesha hahusiki au anahusika. Tatizo ni kuwa watz wengi wanahitaji kusaidiwa ktk KUFIKIRI na at the same time wasiojulikana wapo kazini kupitia media, genge za kahawa na shoeshines kuwasaidia KUFIKIRI kuficha ukweli.

Maoni yangu ni kuwa mjadala wote juu ya jaribio la kumuua LISSU uwe ktk sura hii;
1. Je mtz yoyote akishambuliwa uchunguzi unatakiwa unafanywa na nani?
2. Je kuna uchunguzi wowote umefanyika juu ya Lissu?
3. Km NDIYO je maendeleo ya uchunguzi huu yamefikia wapi?
4. Km HAKUNA je why serikali ya Tz imeamua kutokufanya uchunguzi wa tukio la Lissu?
5. Je kwa katiba yetu nani ni mkuu wa serikali ta Tz na ana mamlaka kiasi gani?
6. Je nani ni mkuu wa serikali ya Tz wakati Lissu ameshabuliwa na sasa mwaka moja baadaye?
7. Je aliyepigwa risasi kuna watu anaowashakia walihusika in/directly?
8. Km wapo WANAOSHAKIWA je ni kina nani?
9. Km hawapo wanaoshakiwa hi habari ya dreva wa Lissu lengo lake ni nini?
10. Kwa hiyo sisi km watz tunafanyeje juu ya Lissu kupigwa RISASI 38?

Jibu la swali namba 10 ni hv, ondoa kichaa jiwe na genge lake by any means necessary, tengeneza katiba ya MERIT BASED SOCIETY kisha serikali na taasisi zitafanya kazi zake za kuchunguza yote ya kina lissu, saanane, azori, mawazo, yona na wengine wote.

Nje ya hapo ni kuendelea kunufaisha wanaonufaika siku zote na hawa watz wanaotakiwa kusaidiwa KUFIKIRI
daahhh hizi si habari tena zilisha eksipaya sasa zilipendwaa
 
Back
Top Bottom