ng`wana ong`wa kulwa
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 2,420
- 1,754
- Thread starter
- #61
Ombi lako nimelisikia nalifanyia kazi mkuu.
hehehehe utamuoa lara 1 siyo nijulishe nianze kushukuru Mungu.
Ombi lako nimelisikia nalifanyia kazi mkuu.
NDO HYPOCRISY NAYOSEMEA MNTAKA VIZURI TUUU VITAJWE VIBAYA AAAAAH! Hovyoooooo!Ndoa ni taasisi nzito, iheshimiwe.
Kama huiwezi kaa kimya usiwavunje wenzako moyo wanaotamani kuifuata.
Sio busara pia kutoa mifano ya negative sides za wazazi hasa kwenye maisha ya ndoa, inawezekana ulitaka upitie maisha ya kishua yasio na dosari ndo maana kila siku unampondea mzee wako kwa makosa alofanya. SIO ISHU.
tehetehe wengine wanaona kazi maana kuna kitu inamgusagusa usiku wote
But it's a good weapon for liars! Right?
Hahahaaaaa! Ili ukaniloge vizuri eeeh! Nitakupa kadi!
Kama mnakubaliana kwenye hilo, mnabishana wapi?
MAOMBI YAKO INABIDI YAAMBATANE NA MKESHA NA KUFUNGO MFULULIZO....Hata mimi namuombea lara 1 apate mme ili iwe ushuhuda na atasaidia wengi.
Anyeonghaseyooooooooooooooooooooooooooooooooo!
This is one of my most heartful and timeless piece of all times special for the ladies.
Imeanzia kwa mchungaji kuniuliza una mchumba? Nikamjibu comfidently sina? Na hushtuki? Nikamwambia mimi mipango mingine mikubwa zaidi ya huo uchumba! Well honestly i date ila siko serious kabisaa kutafuta mume. Sasa mchungaji alitegemea nimwambie nina shida ya mchumba, nilivomjibu vile nikamvuruga prophecy yake kabisaaa! ..........................
sawa, ndio mtifuano huo.....
MAOMBI YAKO INABIDI YAAMBATANE NA MKESHA NA KUFUNGO MFULULIZO....
Married Women have no Shot in this World! Dunia Kubwa Ni Kwa Wanawake Wasioolewa Tu!
Started by lara 1, 14th July 2014 22:35
Ulimpata kabisa bro na majibu yako ni sahihi kabisa...
ila huyu Lara 1 ana influence kubwa humu hata wanandoa utashangaa wanakukana
ndio maana ili jukwaa nilishahama...limepoteza hadhi yake...nimeamua kutembelea international forum nikaangalie news za ndege ya Malaysia...
Kwani wa miaka 20-30 wana exception gani ya kukumbana na mambo ambayo wenye 30-40 watakumbana nayo?
Generally, ndoa haina umri.
Kwa jamii yeyote duniani huwa inakuwa na maadili(morals) ambazo ndizo huwa zinawaongoza with katika masuala mbali2 ya maisha kwa afrika nikiongea kwa mapana kuiacha Tanzania ndoa ndiyo msingi wa chini wa familia kwa mjibu was maadili yetu familia kamili inahusisha baba na mama nguzo ukivunja ungo ama kubarehe wengi wanategemea hatua ya ndoa (kuoa ama kuolewa) usipofanya hivyo jamii LA IMA ijiulize kulikoni has a km hauna tatizo na c mtawa hapa lala1hauna cha maana zaidi ya kujifanya unaiga mifumo usiyo ijua misingi yake. Kwa lugha ya kisaikolojia unaweza kuitwa mmame(kinyume cha mbabe) kimatumizi katika mfume dume.
Omba Mungu upate mke mzuri,na usiwe muoga wa changamoto ndogondogo!
Manake wanaume wa siku hizi jambo dogo tu anakimbilia kuvunja ndoa ama kutafuta mchepuko
mchepuko unaweka heshima ndani!ni mtazamo tuu
wanoko wakisoma hapo kifungo kinakuhusu!
Mi nlivomuelewa, wasichana wasiwe na presha sana ya kukimbilia kwenye ndoa, kwasababu ata hao walio kwenye ndoa sio kwamba wana raha saaana.Unafki umewatawala.
Kwani wa miaka 20-30 wana exception gani ya kukumbana na mambo ambayo wenye 30-40 watakumbana nayo?
Generally, ndoa haina umri.[/QUOTE]
Ni ukweli tupu mkuu ndoa haina umri wengine wako bussy kutafuta maisha kwanza, kuoa/kuolewa baadaye.
Sasa mbona umeanzisha thread...Au hukumuelewa..?