Majibu kwa lara 1

Majibu kwa lara 1

Ndoa ni taasisi nzito, iheshimiwe.

Kama huiwezi kaa kimya usiwavunje wenzako moyo wanaotamani kuifuata.

Sio busara pia kutoa mifano ya negative sides za wazazi hasa kwenye maisha ya ndoa, inawezekana ulitaka upitie maisha ya kishua yasio na dosari ndo maana kila siku unampondea mzee wako kwa makosa alofanya. SIO ISHU.
NDO HYPOCRISY NAYOSEMEA MNTAKA VIZURI TUUU VITAJWE VIBAYA AAAAAH! Hovyoooooo!

Na wale wazazi wangu mimi, WHAT I SAY OR DONT SAY ABOUT THEM IS UP TO ME!
 
KIM JONG UN THE SECOND! ALIAS lara 1 (WHAT A CHEMISTRY!!)
images
images

Huyo ndo lara 1 msiomjua asante sana Tyta mzee wa mapicha.
 
Hata mimi namuombea lara 1 apate mme ili iwe ushuhuda na atasaidia wengi.
MAOMBI YAKO INABIDI YAAMBATANE NA MKESHA NA KUFUNGO MFULULIZO....
[h=3]Married Women have no Shot in this World! Dunia Kubwa Ni Kwa Wanawake Wasioolewa Tu!
Started by lara 1, 14th July 2014 22:35 [/h]
Anyeonghaseyooooooooooooooooooooooooooooooooo!

This is one of my most heartful and timeless piece of all times special for the ladies.

Imeanzia kwa mchungaji kuniuliza una mchumba? Nikamjibu comfidently sina? Na hushtuki? Nikamwambia mimi mipango mingine mikubwa zaidi ya huo uchumba! Well honestly i date ila siko serious kabisaa kutafuta mume. Sasa mchungaji alitegemea nimwambie nina shida ya mchumba, nilivomjibu vile nikamvuruga prophecy yake kabisaaa! ..........................
 
Ulimpata kabisa bro na majibu yako ni sahihi kabisa...

ila huyu Lara 1 ana influence kubwa humu hata wanandoa utashangaa wanakukana

ndio maana ili jukwaa nilishahama...limepoteza hadhi yake...nimeamua kutembelea international forum nikaangalie news za ndege ya Malaysia...

Mkuu umesema kweli lara 1 ana influence kubwa sana angalia post yangu point zimeondolewa nilikuwa nimelezea masahibu ya kujirusha kwa wanaume na wengi wanaogopa kumueleza ukweli lara 1,ukweli lazima tuuseme ikiwa ni masika ama kiangazi.
 
Kwani wa miaka 20-30 wana exception gani ya kukumbana na mambo ambayo wenye 30-40 watakumbana nayo?

Generally, ndoa haina umri.

Ndoa haina umri kwa wajane na wagane tu, acheni kudanganyana hapa bila sababu matokeo yake mnawapoteza wadogo zetu ambao mada za hapa wanazichukulia serious maana hata wazazi wenyewe siku hizi hawana muda na malezi.

Ni hivi kuna faida nyingi za kuoa/kuolewa mapema kwanza swala la kujenga familia hili wote mnalijuwa pia mwanamke kupata gape ya kuzaa kwa kadili ya watoto idadi gani mtapenda kuwa nao.

Mfano mimi Baba si mpenzi sana wa mitoko iwe wedding or whattever anatoa contributin lakini haendi.

Wakati mama akiwa bado mwajiliwa na bado anawakawaka mitoko na party zote za ofisini kwao amekuwa akienda na our first born brother R.I.P na anamtambulisha kwa wale wasiomjuwa maana wengine wanamjuwa ila wale wasiomjuwa hawakuwahi kuamini kama ni mtoto wake kweli bali waliamini mama ana kimchempuko chake ndio huwa anakuja naye kwenye party

just like now baba yangu ni mtu wangu wa karibu na ni successor wake lakini bado akinitambulisha hawaamini kama mimi yule ni baba yangu kweli kumbe hawajui nina gape ya miaka 7 kwa kuzaliwa na marehemu brother hapa ninaposema hivi sasa last born yuko university ndio anamalizia degree yake.

mwenye akili zake atakuwa amepata picha kwa mbali familia inatakiwa kujengwa vipi ili tusiwaache watoto yatima na sisi tupate bahati ya kuwaona wajukuu zetu na kucheza nao.
 
Kwa jamii yeyote duniani huwa inakuwa na maadili(morals) ambazo ndizo huwa zinawaongoza with katika masuala mbali2 ya maisha kwa afrika nikiongea kwa mapana kuiacha Tanzania ndoa ndiyo msingi wa chini wa familia kwa mjibu was maadili yetu familia kamili inahusisha baba na mama nguzo ukivunja ungo ama kubarehe wengi wanategemea hatua ya ndoa (kuoa ama kuolewa) usipofanya hivyo jamii LA IMA ijiulize kulikoni has a km hauna tatizo na c mtawa hapa lala1hauna cha maana zaidi ya kujifanya unaiga mifumo usiyo ijua misingi yake. Kwa lugha ya kisaikolojia unaweza kuitwa mmame(kinyume cha mbabe) kimatumizi katika mfume dume.

ukweli mtupu maana hata fani yoyote ina maadali yake si zaidi sana ndoa.
 
Omba Mungu upate mke mzuri,na usiwe muoga wa changamoto ndogondogo!
Manake wanaume wa siku hizi jambo dogo tu anakimbilia kuvunja ndoa ama kutafuta mchepuko

mchepuko unaweka heshima ndani!ni mtazamo tuu
 
[QUOTE=Matola;10146203]Ndoa haina umri kwa wajane na wagane tu, acheni kudanganyana hapa bila sababu matokeo yake mnawapoteza wadogo zetu ambao mada za hapa wanazichukulia serious maana hata wazazi wenyewe siku hizi hawana muda na malezi.

Ni hivi kuna faida nyingi za kuoa/kuolewa mapema kwanza swala la kujenga familia hili wote mnalijuwa pia mwanamke kupata gape ya kuzaa kwa kadili ya watoto idadi gani mtapenda kuwa nao.


Wakati mama akiwa bado mwajiliwa na bado anawakawaka mitoko na party zote za ofisini kwao amekuwMfano mimi Baba si mpenzi sana wa mitoko iwe wedding or whattever anatoa contributin lakini haendi.
a akienda na our first born brother R.I.P na anamtambulisha kwa wale wasiomjuwa maana wengine wanamjuwa ila wale wasiomjuwa hawakuwahi kuamini kama ni mtoto wake kweli bali waliamini mama ana kimchempuko chake ndio huwa anakuja naye kwenye party

just like now baba yangu ni mtu wangu wa karibu na ni successor wake lakini bado akinitambulisha hawaamini kama mimi yule ni baba yangu kweli kumbe hawajui nina gape ya miaka 7 kwa kuzaliwa na marehemu brother hapa ninaposema hivi sasa last born yuko university ndio anamalizia degree yake.

mwenye akili zake atakuwa amepata picha kwa mbali familia inatakiwa kujengwa vipi ili tusiwaache watoto yatima na sisi tupate bahati ya kuwaona wajukuu zetu na kucheza nao.[/QUOTE]Yaa umekuja na point nzito mkuu hasa hapo peusi.
 
wanoko wakisoma hapo kifungo kinakuhusu!

wanaweza fanya kwa wengine siyo kwa lara 1 mimi bado niko mdomo wazi baada ya poit zangu za utetezi kuondolewa kwenye hii post yangu sasa matusi kama haya ndo yanaachwa au ndiyo maadili ya jf? si jui.
 
Back
Top Bottom