Nimekosa epsode moja naijutia sana.
hehehehee mkuu naona una utani na Kim Jong Ung
labda jong ung kwenye vigodoro
Hem' nijuze, uko "time zone" ipi rafiki??
Kwani yuko wapi?
mwallu NA miss neddy nimeona niwasalimie dada zangu! Mko poa Lkn?
Sijamuona wifi yenu Khantwe Leo? Au katoroshwa?
Dada zangu nawapenda sn
Siku njema!
Yupo mtaani, tunapishana tu.. Sema yeye ana usingizi. Sijui usiku alikuwa wapi.
Kwa sababu huna ndoa. Ungekuwa nayo usingeuliza...
ha ha ha...! Ndoa hizi, lol. Kumbe hamlali?? Niko kwenye ndoa "takatifu" wewe..!!
Ubarikiwe mkubwa ujumbe mzito huu.
Ngoja nasubiri atoke huko sijui kwenye kigodoro nakaba mpaka kivuri chake.
Ndoa na iheshimiwe na watu wote.
Ndoa tsaaaaamuuu jamani..
sikupata muda wa kusoma ile post ya Lara ya marriage ni unafki institutn..hii ya majibu kwa lara nimesoma ila sio post zote..JAMANI NDOA TSAAAAMUUUU tusidanganyane coz hakuna maisha yasiyo na challenges..nyie mlio single hamgombanagi na boyfriends? hamtendwi? hamuachwi kila siku? na kwanza ukiolewa ni heshima ya mwanamke..tusipotoshane..na ugomvi wa ndoa jamani hatitangazagi kila mahali sio sawa na kugombana na boi/girlfriend unaenda kumuhadithia shost..
Ndoa tsaaaaamuuu jamani..