Majibu kwa lara 1

Tu wazima sie....wifi hajaenda michepukoni kweli?....nimemmiss anyways



Umeugusa moyo wangu!

Hujamuona kapita huko kweli?


Nilimuona anapiga story NA Eli79

Thx sn dada & God bless u!
 
Last edited by a moderator:
Ahahaha....au katekwa...au gari Yake imepata ajali...au yuko kwa mama Yake.....auuuu Ndo kashachepuka...



Hahahahaaa

Yuko kwenye Kitchen Party NA mama Kayai kumbe lol! KWENYE MICHEPUKO!
 

mwallu hujambo dada yangu umeongea ukweli kama wazazi waliweza kwa nini sisi tushindwe?
...yote yawezekana kwake aaminiye.

Mungu akupe haja ya moyo wako
 

Huu ndo ukweli wenyewe umenena Ntuzu.....nanyi mtaifahamu kweli nayo kweli itawaweka huru.
 

Ubarikiwe mkubwa ujumbe mzito huu.
 
Mie sikumwelewa Lara maana niliona mkanganyiko,kimombo mara kiswahili!mbwembwe tu nikapita!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Kwenye uzi wake alishauriwa na Mentor aache kuchanganya lugha alitokwa povu ajabu.
 
Binafsi niliyeko ndoani nakutazama (mtazamo) lara 1 kama kiashiria cha 'aliyeshindikana' au irreparable.

Huwezi kuwa king'anganizi wa mambo usiyoyajua na kuwabishia mpaka walioko ndoani(wenye uzoefu wa kutenda sio kusikia tu)...that's ridiculous!

Yes kila mtu ana uhuru wa mawazo,lakini pia kila mtu ana uhuru wa kujifunza kutoka kwa waliomtangulia na walio na uzoefu wa mambo husika...sio kubisha tu.

Napenda unavyo-argue lara 1 very sensible kwa washabikiao mambo bila kufikiri, lakini ni tupu kwa tulioko ndoani...either una chuki,ulitendwa au uliyemtegemea alikutosa etc

Kifupi una tatizo...japo naheshimu mawazo yako.

*sorry kwa kauli yoyote isiyokupendeza.
 
Last edited by a moderator:

Hata mimi mkuu nimekuwa najiuliza sana utafikiri aliwekwa kuwa msemaji mkuu wa wana ndoa,mambo ambayo hajawahi ingia huko.
 
Mkuu Eli79 mi ningepa lara 1 aje hapa atuambie (1) NDOA NI NINI? (2) UPENDO NI NINI (3) WATU WANAINGIA KTK NDOA KWANINI (4) NINI SABABU ZA KUIFANYA NDOA KUA NI UNAFIKI? (5) MUNGU ANASEMAJE KTK MASWALA YA NDOA NA UPENDO?

Atusaidie hayo tu machache!
Ntuzu, Sina uhakika kama utapata majibu katika hali ya utulivu. Approaches zetu katika kujibu hoja zinatofautiana kwa hiyo usishangae sana..
 
Last edited by a moderator:
Umeugusa moyo wangu!

Hujamuona kapita huko kweli?


Nilimuona anapiga story NA Eli79

Thx sn dada & God bless u!
Ntuzu kwa uongo weeewe!! Khantwe rafiki yangu sijui yuko wapi simuoni...!! Ngoja nimtafute..!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…