Majibu haya yanachosha

Majibu haya yanachosha

ZE SNOWMAN

Member
Joined
Jan 10, 2014
Posts
44
Reaction score
10
DEMU:Mambo?
NJEMBA:Mambo
DEMU:Nafurahi kusikia sauti yako
NJEMBA:nafurahi kusikia sauti yangu
DEMU:Hivi we unaitwa nani vile?
NJEMBA:Mimi siitwi..
DEMU:Mh majibu gani hayo kaka?
NJEMBA:Majibu
DEMU:Mhh! makubwa..
NJEMBA:Kama matiti yako?
DEMU:Kha,matiti yangu tena,jamani si majanga haya..
NJEMBA:Ndo jina la matiti yako?
DEMU:We fa-la,nini?
NJEMBA:Ee,kifupi cha falansisco,jina langu la ukoo
DEMU:Huna lolote,wala nini
NJEMBA:Ninalo ila hujaliona tu...
DEMU:We una wazimu,au?
NJEMBA:au
DEMU:Toka hapa,kafie kule na maisha yako magumu
NJEMBA:nimesogea pembeni,vipi,nimeachia kufa,si eti?
DEMU:Achana na mimi wewe
NJEMBA:Hata uchumba bado
DEMU:Muone mtu mwenyewe unaenda kama unarudi
NJEMBA:Hilooo halioni vizuri,mimi naenda senta kuchukua mafuta ya kula wewe,sijarudi bado..
 
Back
Top Bottom