akidaakidah
New Member
- Sep 19, 2015
- 2
- 0
Habari ndugu zangu maana Watanzania wote ni ndugu. Mimi ni mkazi wa Tanga na siku yangu ya kwanza ya maisha yangu kwenda kupima UKIMWI katka hospitali fulani.
Nimeyakimbia majibu kwa kuwa na hofu ya kupata majibu. Je ni njia gani sahihi ya kupata majibu yangu?
Na wewe unaweza kutoa ushuhuda wako kipindi unaenda kupima na kupokea majibu ya Ukimwi ilikuwaje?
Nimeyakimbia majibu kwa kuwa na hofu ya kupata majibu. Je ni njia gani sahihi ya kupata majibu yangu?
Na wewe unaweza kutoa ushuhuda wako kipindi unaenda kupima na kupokea majibu ya Ukimwi ilikuwaje?