Selaa ze dodiii
Member
- Dec 19, 2011
- 11
- 3
Samaki mkunje= mpaka aenee kweny kikaango #2 haba na haba = haba mbili #3 asiyefunzwa na mamaye =yatima #4 simba mwenda pole =anamnyemelea yanga
Kiswahili kinakwenda wapi?[h=2]Majib mapyaa ya methaly za kiswahl kwa year 2012[/h]
Kiswahili kinakwenda wapi?
Samaki mkunje... Mpaka anye.
aisifuye mvua: hakai mabondeni au anauza miamvuli
Kelele za mbu hazichani neti
usiogope, mana kama wew baba/mama unafanya unategemea mtoto afanyaje?Ktk miaka ijayo haya majibu tutayategemea kwenye mitihani ya wanetu