Maji ya DASANI hayawekwi pH kwenye LEBO?

Ncha Kali

JF-Expert Member
Sep 19, 2019
14,528
27,052
Huku ni Jua Kali.

Katika heka heka za kukata kiu nikajipatia chupa ya maji tajwa, Brandi ya DASANI.

Imekuwa kawaida kuzingatia pH kama kizio cha kupimia, ikiwa maji yana alkali au tindikali kulingana na uwiano wa madini na chumvi mbalimbali kwenye hayo yanayoitwa Maji Safi.

La haulah!
Sijaona pH kwenye hii chupa. Nini kimetokea? Ni utaratibu wao siku zote au ni toleo hili tu?View attachment 2687740
PXL_20230714_113412658.jpg
 
Huku ni Jua Kali.

Katika heka heka za kukata kiu nikajipatia chupa ya maji tajwa, Brandi ya DASANI.

Imekuwa kawaida kuzingatia pH kama kizio cha kupimia, ikiwa maji yana yabisi au tindikali kulingana na uwiano wa madini na chumvi mbalimbali kwenye hayo yanayoitwa Maji Safi.

La haulah!
Sijaona pH kwenye hii chupa. Nini kimetokea? Ni utaratibu wao siku zote au ni toleo hili tu?View attachment 2687740View attachment 2687741
Piga picha ya pande zote za chupa then utuwekee hapa.
 
Huku ni Jua Kali.


Imekuwa kawaida kuzingatia pH kama kizio cha kupimia, ikiwa maji yana yabisi au tindikali kulingana na uwiano wa madini na chumvi mbalimbali
Yabisi ni Solid(hali ya kitu kua kigumu mfano. Chupa,jiwe,mti n.k)
pH ni kipimo cha tindikali au alkali kweny kitu mfano Maji, udongo n.k
Hapo ulitakiwa useme Alkali na sio Yabisi
Haya rekebisha sasa.
By Mwanafunzi wa Chemistry
 
Huku ni Jua Kali.

Katika heka heka za kukata kiu nikajipatia chupa ya maji tajwa, Brandi ya DASANI.

Imekuwa kawaida kuzingatia pH kama kizio cha kupimia, ikiwa maji yana yabisi au tindikali kulingana na uwiano wa madini na chumvi mbalimbali kwenye hayo yanayoitwa Maji Safi.

La haulah!
Sijaona pH kwenye hii chupa. Nini kimetokea? Ni utaratibu wao siku zote au ni toleo hili tu?View attachment 2687740View attachment 2687741
PH ipo kwenye ingredients geuza chupa utaona.
 
Kama una Nia ya kuharibu Brand ya DASANI, (Jambo ambalo sio zuri kwa sababu Brand hiyo imetengenezwa kwa mda mrefu na kwa kutumia rasilimali nyingi sana)
Basi ungetuonesha Lebo ya Dasani ya kuonesha COMPOSITION in mg/lt ili wote tuweze kuona ukinenacho
 
Yabisi ni Solid(hali ya kitu kua kigumu mfano. Chupa,jiwe,mti n.k)
pH ni kipimo cha tindikali au alkali kweny kitu mfano Maji, udongo n.k
Hapo ulitakiwa useme Alkali na sio Yabisi
Haya rekebisha sasa.
By Mwanafunzi wa Chemistry
Sawa, asante.
 
Back
Top Bottom