PLAZARO
Member
- Aug 21, 2015
- 43
- 36
Asante sana mheshimiwa Zitto Kabwe kwa kulitazamia suala hili, binafsi ninaumizwa sana na tatizo la Maji kwa jinsi linavyotukumba nchi yetu ya Tanzania. Tanzania ni nchi yenye maziwa na mito mingi sana na ni kati ya Nchi inayozungukwa na Bahari ya Hindi lakini bado ni nchi yenye matatizo makubwa ya Maji -- Tunakwama wapi?