vallentino86
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 532
- 211
Nimeisoma mada ya Mh. Zitto na kuielewa vizuri, jukumu la usambazi maji ni la wananchi na Serikali. Wananchi tunatakiwa kuonyesha juhudi fulani ili kuivutia Serikali kuongeza nguvu katika kutimiza lengo la kupata MAJI SAFI NA SALAMA.