Tendo la ndoa ni kwa wanandoa tu na sio kwa wachumba.
Hicho mnachokifanya nyinyi ni ngono na ndio kiini cha tatizo lenu.
Dawa yake ni kuacha kufanya mpaka hapo mtakapokuwa mmeoana.
Ndoa ni taasisi rasmi ya kudumu inayotambulika na kuhalalishwa kidini, kisheria, au kijadi inayohusisha uhusiano kati ya mwanaume na mwanamke kwa lengo la kujenga familia.Aisee.. Hivi ndoa ni nini??
Hivi tuelimishe bartholin's gland zinahusika vipi na kufunga ndoa?Na kweli, hapo solution ni kufunga ndoa tu yote yataisha hayo.
Kama hizo glands zinahusika na tendo la ndoa, na tendo la ndoa ni mahsusi kwa wanandoa tu, wewe huoni uhusiano hapo?Hivi tuelimishe bartholin's gland zinahusika vipi na kufunga ndoa?
Duh, Ruvu chini tena!!mwambie aache kuvaa nguo zinazobana kiuno...la sivyo itafika kipindi kitu kitakua kama Ruvu Chini
pole sana kwa tatzo so nakuwaje ndan ya uchumba kunakuwa na tendo la ndoa?m nadhan unakosea sana unaposema hvyo hilo tendo mnalofanya s la ndoa litafute jna lake huska tendo la dnoa ni kwa walioa na kuolewa tu period,sion ni kwa namna hlo ttzo ingawa wataaluma wa magonjwa ya wakina mama wanaweza kusadia,vingenevyo hyo inaweza kuwa namna ya huyo mama kuelekea peak ya kibo.....jamani great thinker ,mchumba ana tatizo la kutoa maji mengi sana wakati wa tendo la ndoa ,naombeni njia ya kuamaliza hili tatizo kwani inanikera sana