Maji Marefu Kuishitaki CHADEMA .....!!!!!

Maji Marefu Kuishitaki CHADEMA .....!!!!!

By 2015 wataerevuka tu
yeah! tuombe uzima tu, na bilashaka hadi hapo wale watoto wa manamba watakuwa wamemaliza kidato cha 4 shule za kata watawaelimisha na wazazi wao.....
ni aibu sana kwa jimbo kuwa na mwakilishi asojua kusoma wala kuandika hata neno father, eti anategemea binti yake anayesoma form 6 amtafsilie...
 
Majimarefu Asema Picha Imetengenezwa
Amemaliza maongezi na wakili maarufu jijini kuiburuza CHADEMA na MWANANCHI Mahakamani Jumatatu kwa kumchafulia jina na heshima yake ndani ya chama na jamii kwa ujumla





"Picha hii nilipigwa nikiwa na huyu mbunge mwenzangu, Vicent Nyerere (kulia), lakini huyu wa kushoto (Joshua Nassari) hakuwepo karibu yangu kabisa! Yeye alikuwa mbali akiamrisha vijana wanichome moto tena akiwa na hasira, tofauti na anavyocheka katika picha hii. Huu ni mchezo mchafu wa kuunganisha picha kwenye kompyuta uliofanywa na CHADEMA na kwa makusudi gazeti hili likaichapisha, baada ya kuona kwamba hatua aliyofanya Nassari ya kutaka niuawe jana ni mbaya sana. Nitalishitaki gazeti hili". Analalamika Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani wakati akionyesha picha inayomuonyesha akiwa katika furaha ya hali ya juu yeye, Nyerere na Nassari. Picha hiyo imechapishwa jana ukurasa wa kwanza gazeti la Mwananchi.Vilevile ukurasa wa kwanza gazeti la Tanzania Daima.

KUMBE na mabingwa wa kuruka hewani usiku nao hukimbilia mahakamani?,Eeeee.....ramli na tunguli zimeshindwa safi sana.kumbe sayansi ipo juu ya uchawi .....basi nenda ila utachemka tu,mshirikina soma mambo ya nyakati.
 
KUMBE na mabingwa wa kuruka hewani usiku nao hukimbilia mahakamani?,Eeeee.....ramli na tunguli zimeshindwa safi sana.kumbe sayansi ipo juu ya uchawi .....basi nenda ila utachemka tu,mshirikina soma mambo ya nyakati.

Huyu alikwenda kuroga kesi Kisutu akadakwa


images.jpg
 
Majimarefu Asema Picha Imetengenezwa
Amemaliza maongezi na wakili maarufu jijini kuiburuza CHADEMA na MWANANCHI Mahakamani Jumatatu kwa kumchafulia jina na heshima yake ndani ya chama na jamii kwa ujumla





"Picha hii nilipigwa nikiwa na huyu mbunge mwenzangu, Vicent Nyerere (kulia), lakini huyu wa kushoto (Joshua Nassari) hakuwepo karibu yangu kabisa! Yeye alikuwa mbali akiamrisha vijana wanichome moto tena akiwa na hasira, tofauti na anavyocheka katika picha hii. Huu ni mchezo mchafu wa kuunganisha picha kwenye kompyuta uliofanywa na CHADEMA na kwa makusudi gazeti hili likaichapisha, baada ya kuona kwamba hatua aliyofanya Nassari ya kutaka niuawe jana ni mbaya sana. Nitalishitaki gazeti hili". Analalamika Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani wakati akionyesha picha inayomuonyesha akiwa katika furaha ya hali ya juu yeye, Nyerere na Nassari. Picha hiyo imechapishwa jana ukurasa wa kwanza gazeti la Mwananchi.Vilevile ukurasa wa kwanza gazeti la Tanzania Daima.

Hii habari mbona ni ya siku nyingi nakumbuka kipindi cha Uchaguzi wa Arumeru East.
Hata kama Maji Marefu atakuwa ameamua kwenda Mahakamani hana ubavu wa kushinda kesi hii maana hana sifa!
  1. Yeye ni class 7 aliye-fail.
  2. Yeye ni mganga wa kienyeji au mtu wa tunguli.
  3. Yeye ni gamba la CCM ambalo haliwezi kushindana na nguvu iliyoko CDM.

Ninamshauri aachane na hiyo kesi maana itakula kwake!
 
Le profeseri......dah yaani kz kwelikweli hv kupiga picha na mtu ni kosa...????
 
Back
Top Bottom