Asu tz
JF-Expert Member
- Dec 10, 2011
- 336
- 86
A good joke!!!:bounce:
:bounce::bounce::bounce:
Mhh msom wa chuo kikuu?
A good joke!!!:bounce:
:bounce::bounce::bounce:
Kwa gazeti la Mwananchi hii siyo mara ya kwanza kuchakachua picha. Wanajamii forums hamkmbuki namna Mwananchi mwaka 2005 lilivyochakachua picha ya Dk. Salim Ahmed Salim wakafanya copping ya kishenzi ikimuonyesha akiwa na sultan na viongozi wa Hizbu na kuwatoa katika picha hiyop watu wengine? Mwananchi ni gazeti la Kenya na liko hapa nchini kwa ajenda maalum, nayo ni kuleta machafuko nchini Tanzania.
Majimarefu Asema Picha Imetengenezwa
Amemaliza maongezi na wakili maarufu jijini kuiburuza CHADEMA na MWANANCHI Mahakamani Jumatatu kwa kumchafulia jina na heshima yake ndani ya chama na jamii kwa ujumla
"Picha hii nilipigwa nikiwa na huyu mbunge mwenzangu, Vicent Nyerere (kulia), lakini huyu wa kushoto (Joshua Nassari) hakuwepo karibu yangu kabisa! Yeye alikuwa mbali akiamrisha vijana wanichome moto tena akiwa na hasira, tofauti na anavyocheka katika picha hii. Huu ni mchezo mchafu wa kuunganisha picha kwenye kompyuta uliofanywa na CHADEMA na kwa makusudi gazeti hili likaichapisha, baada ya kuona kwamba hatua aliyofanya Nassari ya kutaka niuawe jana ni mbaya sana. Nitalishitaki gazeti hili". Analalamika Mbunge wa Korogwe Vijijini Stephen Ngonyani wakati akionyesha picha inayomuonyesha akiwa katika furaha ya hali ya juu yeye, Nyerere na Nassari. Picha hiyo imechapishwa jana ukurasa wa kwanza gazeti la Mwananchi.Vilevile ukurasa wa kwanza gazeti la Tanzania Daima.