Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,220
- 31,552
Watu wanapenda consipiracy theories sana.Tuonyeshe maji yaliko Ili tutumie badala ya kuandika upumbavu
Watu wanapenda consipiracy theories sana.Tuonyeshe maji yaliko Ili tutumie badala ya kuandika upumbavu
Hii natokana na uvivu wa kufanya utafiti na kuiona Dar es Salaam au sehemu aliyopo ndivho TANZANIA yote ilivyo! Hali kadhalika kuokoteza storey za vijiwe vya draft au kahawa!Watu wanapenda consipiracy theories sana.
🤔🤔🤔Huu unaoitwa ukame ni wa kutengeneza ili kumfurahisha globalist, Tanzania haijawahi kukumbwa na uhaba wa maji kwa kiasi hiki.
Sababu za huu unaoitwa ukame ni kuendana na Mkutano wa global warming unaofanyika huko Misri ili Globalist apate kuwaaminisha watu kuna global warming, hata Mlima Kilimanjaro wanachoma makusudi kutesa watu, lkn hakuna ukame Tanzania, hawa watu ni pure evil!
Akili za vijna wa ccm zimejaaa matusi tuHayo maji yataingizwa kwenye mfumo wa mabomba kama yanavyoingizwa ya Mto Ruvu.
Acha matusi hayatakusadia chochote.Mkakati ndiyo kutafuta hiyo pesa.
Huu unaoitwa ukame ni wa kutengeneza ili kumfurahisha globalist, Tanzania haijawahi kukumbwa na uhaba wa maji kwa kiasi hiki.
Sababu za huu unaoitwa ukame ni kuendana na Mkutano wa global warming unaofanyika huko Misri ili Globalist apate kuwaaminisha watu kuna global warming, hata Mlima Kilimanjaro wanachoma makusudi kutesa watu, lkn hakuna ukame Tanzania, hawa watu ni pure evil!
Hawa wanataka kuifanya dunia kijiji na wana malengo ya siri zaidi ya kuwathibiti watu wote duniani wafuate masharti yao na ya mkuu wa giza anayewatuma......Globalist ni nani?
Kwahiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba hakuna ukame wowote?Hawa wanataka kuifanya dunia kijiji na wana malengo ya siri zaidi ya kuwathibiti watu wote duniani wafuate masharti yao na ya mkuu wa giza anayewatuma......
Mimi nimemjibu jamaa anayehitaji kujua globalist ni nani, wewe unakuja kunilisha maneno ya ukame na conspiracy theories, taratibu mzee.....Kwahiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba hakuna ukame wowote?
Nashindwa kukuamini kwa sababu ya kile ninachokiona (conspiracy theories) na kutaka kukwepa kuwajibika kwa jinsi hali ilivyo! Naomba chukua muda pitia hapa taarifa ya Jana kwa waandishi wa habari waliotembelea hifadhi Rauaha na hali halisi katika picha ujue hali kiasi Gani ni mbaya na sababu ni nini: HALI YA MAJI MTO RUAHA MKUU NI MBAYA, ZIMETIMIA SIKU 80 BILA KUTIRIRISHA HATA TONE LA MAJI
Kwahiyo mkuu unataka kutuaminisha kwamba hakuna ukame wowote?
Nashindwa kukuamini kwa sababu ya kile ninachokiona (conspiracy theories) na kutaka kukwepa kuwajibika kwa jinsi hali ilivyo! Naomba chukua muda pitia hapa taarifa ya Jana kwa waandishi wa habari waliotembelea hifadhi Rauaha na hali halisi katika picha ujue hali kiasi Gani ni mbaya na sababu ni nini: HALI YA MAJI MTO RUAHA MKUU NI MBAYA, ZIMETIMIA SIKU 80 BILA KUTIRIRISHA HATA TONE LA MAJI
Anayepaswa kujibu ni waziri wa maji! Mimi mashambulizi yangu yanaenda kwa wanaowatetea viongozi wa serikali wanaopaswa kuwajibika na wale chawa wanaowatetea, pia watu wanaokataa kuwa ukame hakuna na kuweka visingizio sijui vya globalists nk!Kwani Ziwa Victoria limekauka? Iweje waliunganishiwa na maji ya Ziwa pia maji yasitoke? Unaweza kulijibu hilo swali?
Inawezekana una maarifa lakini unayabaniaHuu unaoitwa ukame ni wa kutengeneza ili kumfurahisha globalist, Tanzania haijawahi kukumbwa na uhaba wa maji kwa kiasi hiki.
Sababu za huu unaoitwa ukame ni kuendana na Mkutano wa Global Warming unaofanyika huko Misri ili Globalist apate kuwaaminisha watu kuna global warming, hata Mlima Kilimanjaro wanachoma makusudi kutesa watu, lkn hakuna ukame Tanzania, hawa watu ni pure evil!
Na mto Ruaha Mkuu wana pump maji wanayapeleka sayari ya Mars ili mto uonekane umekaukaHuu unaoitwa ukame ni wa kutengeneza ili kumfurahisha globalist, Tanzania haijawahi kukumbwa na uhaba wa maji kwa kiasi hiki.
Sababu za huu unaoitwa ukame ni kuendana na Mkutano wa Global Warming unaofanyika huko Misri ili Globalist apate kuwaaminisha watu kuna global warming, hata Mlima Kilimanjaro wanachoma makusudi kutesa watu, lkn hakuna ukame Tanzania, hawa watu ni pure evil!
Anayepaswa kujibu ni waziri wa maji! Mimi mashambulizi yangu yanaenda kwa wanaowatetea viongozi wa serikali wanaopaswa kuwajibika na wale chawa wanaowatetea, pia watu wanaokataa kuwa ukame hakuna na kuweka visingizio sijui vya globalists nk!
Nimecheka kwa sauti mkuu! Ndio mana nimeleta na link Ili wasome Maana naona storey za vijiwe vya kahawa na dhahania tu kuhusu hali halisi: HALI YA MAJI MTO RUAHA MKUU NI MBAYA, ZIMETIMIA SIKU 80 BILA KUTIRIRISHA HATA TONE LA MAJINa mto Ruaha Mkuu wana pump maji wanayapeleka sayari ya Mars ili mto uonekane umekauka
Hali inasikitishaNimecheka kwa sauti mkuu! Ndio mana nimeleta na link Ili wasome Maana naona storey za vijiwe vya kahawa na dhahania tu kuhusu hali halisi: HALI YA MAJI MTO RUAHA MKUU NI MBAYA, ZIMETIMIA SIKU 80 BILA KUTIRIRISHA HATA TONE LA MAJI
Naomba utuelimishe sisi tusioelewa kwamba wanakata maji maksudi Ili kumfurahisha Nani na wanufaike vipi?Ndiyo hakuna ukame wa ajabu ambao hatujawahi kuuona, ukame upo karibia kila mwaka lkn maji huwa hayakatiki kwa kiasi hiki mpaka alipoingia huyu, hivyo wanakata maji makusudi kutesa watu kufurahisha globalist, hata timing yake tu, maji yamepotea wakati Mkutano wa “climate change” unaanza Misri unafikiri ni coincidence? Kila kitu kimepangwa, …