Majeshi yetu Anzieni hapa

Majeshi yetu Anzieni hapa

Tatizo Sidhani Kama serikali iko serious kwa hili.
Labda watakaofukuzwa na wanyarwanda kwa vile rais wao ana bifu na JK. Kama serikali inajali raia wake ingeshachukua hatua muda mrefu kwa sababu mfano hawa wahamiaji wameshafanya maovu sana kwa wenyeji kwa muda mrefu bila serikali kuchukua hatua za dhati! Ngoja tuone
 
Mi nilikuwa naumia kichwa sana kwa suala hili, nashukuru JK umeliona hili. Anza na Wanyarwanda

hii mitusi ndiyo karaha kabisa, nafikiri hawa ndiyo wanastahili ile kauli ya mzee pinda ya kupiga tu, na wapigwe hawa wauaji na wabaguzi wakubwa.
 
Mi nilikuwa naumia kichwa sana kwa suala hili, nashukuru JK umeliona hili. Anza na Wanyarwanda

Hivi ninyi wana jf wenzangu mnamzungumzia JK yupi? kama ni huyu huyu ninaemjua mimi hawezi kutekeleza ahadi yake ya kuwaondoa wahamiaji haramu. Ni hivi majuzi tu nimemsikia akilalamika kuwa eti takukuru hawafanyi kazi yao sawasawa! Nikajiuliza, kama aliyewateua analalamika sisi wananchi wa kawaida tufanyeje? ama kweli watanzania imekula kwetu. Ukiona rais wa nchi kubwa kama Tanzania anatishiwa kupigwa na viji-nchi kama rwanda na malawi ujue rais wetu ameshajulikana kwamba ni mr. dhaifu. Angelikuwa nyerere au mkapa asingetukanwa na viongozi sisimizi kama hawa.
 
Hao Uhamiaji hipohipo tu, kazi ni ulafi wa utajiri baaasii. Mwaka 2007 kama sikosei niliwahi kufika hapo makao makuu yao hapo wizarani, nilikwenda kulipoti waamiaji haramu wa kirundi na RWANDA ambayo walikuwa wamekodi nyumba mtaani kwetu. Kilicho nikuta sitokisahau!!!!!. Ilikuwa kama vile mimi ninakimbelembele, wakati nilikuwa na full ushaudi jinsi walivyo kuwa wakiishi maisha ya hofu, na kutembeleana na wenzao usiku kwa usiku kutoka tusiko kujua. Hakuna walicho niambia zaidi ya kiniambia haya tumesikia, Duuuh!!!, nilichoka kwakweli !!. Hakuna kilicho fanyika mpaka leo, sasa hivi wameoana oana na kiswahili wanajua vizuri na wamejenga nyumba zao kwa taarifa nilizo zipata. Kiukweli uhamiaji ni jeshi la wauza nchi. Nuksi kabisaaaa.
 
tusiwasahau na wachina waliojazana uswahilini bila kuwa na vibali huku wakifanya biashara kilamkukicha na kutuachia watoto mitaani.
 
Sure. Timua aliens wote maana wakidhafanikisha malengo yao wanatuona watz hatuna akili na tunawashobokea. Wako pia wazungu ambao hawana sifa za kuja Tz. Hapo namkubali JK
yale yale ya Mugabe!!!! lakini chini ya chama gani?
 
Sasaivi nahisi rahisi yupo serious sana na kazi zitapatikana

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Kama wahamiaji wakifanikiwa kuondoa wahamiaji haramu nchi yetu itazidi thamani yani mi nashangaaa mijitu inatoka huko inaiingia hapa kilaini bila hata ya kibali
 
wachina ndo usiseme kwasasa, wapo kwa wingi sana kwenye ma'godown.
 
Ivi ponda bado hajaondoka tu au yeye sio mhamiaji haram

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Majeshi yetu yaendelee kuwachapa M23 kimyakimya tu, na kule mpakani yaendelee kuwatimua wanyarwanda kimyakimya, yaani yatumie staili ya wakulya ya kumfukuza mwizi kimyakimya. hawa wageni wengine tuachane nao.
 
Back
Top Bottom