Majeshi ya Tanzania na huduma za dezo

Majeshi ya Tanzania na huduma za dezo

ngoja siku nchi ivamiwe ndio utajua umuhimu wao,fursa za wanajeshi haziko Tz ata nchi zilizoendelea.Wajeda ni watu muhimu sana kwenye nchi wako tayari kujitolea kufa ili wewe usalimike

Bila wajeda Malawi angekuwa ameshajitwalia mkoa wote wa Mbeya na angeanza kudai Iringa pia ni ya kwake nasi tungebaki kimya,

Hali kadhalika Kagame alivyozinguana na Kikwete angekuwa amesha tuonyesha adabu zamaaani!!!

Sijui Museveni angefanya nini.


Ila kifupi majirani zetu wangeigawana Tz haraka sana...
na hata vita vya wenyewe kwa wenyewe vinaweza kuibuka kirahisi sana kama hakuna wajeda.


Kitendo cha mjeshi kuonekana ,,,,yote hayo yanajinutralize yenyewe.
 
Acha Ushabiki Wew,lin Walikusumbua?Unajua Ni Mda Gan Wameanza Kutolipa Naul Mpaka Useme Watachukua Vitu Bure?Acha Ujinga Aman Yako Uliyonayo Shukuru Mungu Isikufanye Uanze Kubeza Chochote Kinachofanywa Na Hao Walinda Aman...We Ni #Mkapavoice

hilo litakuwa NI LIUKAWA TU
 
Waliopata mali kwa njia za urithi utawajua tu. Maneno mengii
 
Back
Top Bottom