Majeshi ya Tanzania na huduma za dezo

Majeshi ya Tanzania na huduma za dezo

Mshahara wa askari private kabla ya kukatwa kodi ni Tshs 170,000 approx. Na allowance ya chakula kama Tshs 50,000 hivi kwa mwezi! Ofisa wa ngazi ya chini ni sh 350,000 kabla ya kodi!!! Huko ni kulipwa vizuri??? Na Jenerali ana 1.5M, gari + extra allowances whats the difference nafikiri mishahara mizuri ni ya wanasiasa sio wanajeshi. Hawasemi kwa vile ndio maadili yao lakini hawana amani hata kidogo na hawana wa kuwasemea, Hata wabunge wanakwenda maeneo ya wanajeshi wakati wa campaign tu then mbunge gani ulimsikia akitetea maslahi ya wanajeshi? Viongozi wao ni mabilionea, remember Mb..ma with meremeta na Tanzanite + Wa...tara ni mwenye pesa nyingi sana lakini wanajeshi sasa hata kuipata kombati unatoa rushwa!

Hahaa Mzuzu kazini! Hakuna tamko rasmi wala sheria inayosema hawa majabari wakwende bure kwenye vyombo vya watu ila ni kwa kuutegemeza ujabari wao mbele ya waungwana wenye vyombo, ndipo wao wakajipatia uhalali wakutumia vyombo hivyo kana kwamba tuko katika zama za ujamaa,ni kweli askari wa chini ana hali mbaya ukilinganisha na maafisa wa ngazi za juu na ndugu zao majenerali,lakini hali duni hiyo ni nafuu kubwa ukilinganisha na watumishi wengine wa serikali kimapato,anyway theres no noble proffession,any proffession is noble!
 
acheni kubwabwanja while hamjui hata SMG inashikajwe ama kweli amani ya nchi inatufanya tushindwe kujua ya kujadili but siku ukijaona askar anapigwa shaba anakufa na mwenzie anaendelea kupambana sabab ya nchi ndo utajua thaman ya uaskari haipaswi kulinganishwa na vijisenti vya daladala

Mkuu hivyo vijisenti watu ndo ugali wao,wewe si unakula kupitia kujua kushika SMG/Ak 47!!!
 
big up kwa dereva anaejiamini mbele ya haki yake japo huyu MJEDA MPUMBAVU BADAE ALIPIGIA WENZAKE CM WATEKE GARI NJIANI KUA KAFANYIWA FUJO, bila hata kujua watu mle kwenye gari wana nyadhfa zao walikua wanangoja gari itekwe ili badae wawe mashahdi mahakamani isitoshe kulikua na majaji kama 2 waliokua washarekodi mkanda mzima wa tukio
RAI YANGU..msifanye fujo kwenye magari kabla hamjajua nyadhifa za watu waliopo ndani ya gari

Uongo mwingine MAJAJI 2 kwenye usafiri huo, kama huna sifa za kujiunga na mojawapo na majeshi yetu kaa kimya acha uchochezi...
 
Ndugu zangu;
Wanajeshi wetu wanajitolea sana hasa kujitoa maisha yao katika kutupigania muda wowote ikitokea vita wanatangulia wao. Nadhani tuendelee kuwahudumia kadri tunavyoweza chamsingi wasijiingize kwenye siasa.

Mleta mada nadhani baada ya kuona jeshi linaanza kujiingiza kwenye siasa amekerwa ndo maana kaleta huu uzi. Ndugu zangu askari tendeni haki kwa vyama vyote hii ni nchi yetu sote hakuna mkimbizi anayeomba kwenda Ikulu Lowassa ni mtanzania kama Magufuli tuwe pamoja nchi yetu sote
 
modarators hii thread sikuituma mimi mama Porojo ni hatari kutumia akaunti yangu kuingiza kitu amabcho hakijatoka kwangu. chunguzeni suala hili na kuchukua hatua
 
mnaongelea ushabiki na hasira juu ya jambo ambalo ni vigumu kulielewa. endeleeni kubishana.
 
modarators hii thread sikuituma mimi mama Porojo ni hatari kutumia akaunti yangu kuingiza kitu ambacho hakijatoka kwangu. chunguzeni suala hili na kuchukua hatua. kama kuna mtu anatumia akaunti yangu ni kazi ya jamiiforums kubaini na kuchukua hatua. Hii si sawa na si haki kwani na wengine wanaweza kupata tatizo hili.
 
kwangu mimi hili suala naliona kuwa kuna mtu mwingine anatumia akaunti yangu pasipo mimi kujua. Najiuliza kama imewezekana kwangu kwa mwingine je? suala la muhimu ni kuirudisha thread hii kwa aliyeituma na kuianzisha kwani ni rahisi kwa modarators kumjua mtumaji.
 
modarators hii thread sikuituma mimi mama Porojo ni hatari kutumia akaunti yangu kuingiza kitu ambacho hakijatoka kwangu. chunguzeni suala hili na kuchukua hatua. kama kuna mtu anatumia akaunti yangu ni kazi ya jamiiforums kubaini na kuchukua hatua. Hii si sawa na si haki kwani na wengine wanaweza kupata tatizo hili.

Mada yako kule jukwaa la biashara mbona umeisusa mkuu??
 
na kama ni waungwana mtaniomba radhi kwa tukio hili.
 
ngoja niicheki inaweza kuwa na yenyewe sio yangu kwani sijawahi kushiriki jukwaa la biashara niko kisaisa zaidi.
 
Ni vigumu sana kujua mambo ya majeshi nakushauri yaaje kama yalivyo nauli sijui maslah waachie wenyewe km kuna ambao pia wanatakiwa wasitoe na unaona wanaonewa ona namna ya kuwasaidia ili na wao wapate hiyo huduma ya daladala bure
 
Huu ni udukuzi kaka nimepigwa na butwaa!!!!!!!!!! hata ukipitia thread zangu nyingi sio za mlengo huu ni mtu tu kaamua kufanya udukuzi wa kuingilia akaunti yangu.
 
Hata mimi nikiamua kumsaka mdukuzi huyu naweza lakini hii sio kazi yangu ni kazi ya wamiliki wa jamiiforums. japokuwa naamini kuwa suala hili linaweza kutokea kwa bahati mbaya hususan kipindi cha kufanya updating ya mtandao wa jamiiforums.
 
Nitalazimika kuzipitia threads zangu zote tangu nilipojiunga na jamiiforums ili kubaini kama zote zilitoka kwangu
 
Askari yeyote(jwtz, magereza, polisi,jkt) akiwa ktk gwanda popote awapo tatizo ama uhalifu ukitokea raia wote tutategemea muongozo na msaada wake, Hawa viumbe WaPo kazini 24/7 na wamejitoa kwaajili ya usalama wetu.
 
Back
Top Bottom