Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Upo sahihi mkuu! Japo wengi hawakukuelewa. Uzowefu wa 10years unaongelea unachokijuwa. Majibu ya wachangiaji hayaendani na mada yako.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk

wengi wamekurupukua hawakujua mzizi wa hoja husika ni upi. Leo nikisema Chuo kikuu cha Dar es salaam kuna ukiritimba uliokithiri nitakuwa simaanishi kwamba pale hakuna wasomi! Ukiritimba ni jambo moja na usomi ni jambo jingine ila msomi makini hawezi kuridhika kukaa sehemu ambayo kuna ukiritimba uliokithiri.
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

sifahamu kiwango cha elimu yako kwa kuwa sikujui ila kwa ulichoandika kinatosha angalau kubashiri, kwa mwenye akili na ufahamu wa kisomi asingeandika ulichoandika tafuta mada nyingine ulete jamvini achan na vitu usivyovijua, inaonekana ulitamani kwenda jeshini ukapate pesa za rushwa, rudi shule dogo!!!
 
Basi nchi hii kuna sehem hamna ukiritimba!!!!!!!?ni kwamba umekuwa mvivu tu kutafiti.

Ukajiridhisha na sehemu moja tu,embu endelea na kautafiti utagundua kitu kingine sehemu nyingine.waulize madokta.
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

kwa hiyo umekuja na ka degree kako ukaaika nacho huko mtaani ukaona hakukufai ndio unatafuta njia ya kutokea kwa kupitia jeshi? hii sio nidhamu hata kidogo kwa raia wa tanzania kwa jeshi letu, unajua juzi polisi na magereza walisail watu wenye taaluma mbali mbali kukiunga nao? umepitia jkt ukagundua kuna wataalam gani wapo huko? subiri muda ufike ukigundua jeshi lina wataalam wa kutosha ndio utakuja kuomba radhi hapa.
 
kwa hiyo umekuja na ka degree kako ukaaika nacho huko mtaani ukaona hakukufai ndio unatafuta njia ya kutokea kwa kupitia jeshi? hii sio nidhamu hata kidogo kwa raia wa tanzania kwa jeshi letu, unajua juzi polisi na magereza walisail watu wenye taaluma mbali mbali kukiunga nao? umepitia jkt ukagundua kuna wataalam gani wapo huko? subiri muda ufike ukigundua jeshi lina wataalam wa kutosha ndio utakuja kuomba radhi hapa.

Rudia kusoma uzi.
 
Basi nchi hii kuna sehem hamna ukiritimba!!!!!!!?ni kwamba umekuwa mvivu tu kutafiti.

Ukajiridhisha na sehemu moja tu,embu endelea na kautafiti utagundua kitu kingine sehemu nyingine.waulize madokta.

Kule umezidi.
 
Inaingia akilini au baadhi ya wakati mtu huenda ujeshi kutokana na maisha
 
naomba nifahamishwe ni mambo gani yamefanywa na wasomi waliopo kwenye majeshi ya tanzania??

ukishajua ili iweje? mkuu mbona tunatafuta vitu vilivyo juu ya uwezo wetu? angaikia kula yako na watoto mengine waachie wenyewe.
 
ukishajua ili iweje? mkuu mbona tunatafuta vitu vilivyo juu ya uwezo wetu? angaikia kula yako na watoto mengine waachie wenyewe.

nataka niwahimize wanangu wasome wawe wasomi jeshini maana inaelekea wanafanya mambo makubwa na mazuri waje wanisaidie baba yao uzeeni.. inshallah.... pia ikiwezekana na mimi niende huko kutafuta kula ya familia yangu....
ila kama hujui waliyoyafanya usijali mkuu wapo wanaojua watanifahamisha
 
nataka niwahimize wanangu wasome wawe wasomi jeshini maana inaelekea wanafanya mambo makubwa na mazuri waje wanisaidie baba yao uzeeni.. inshallah.... pia ikiwezekana na mimi niende huko kutafuta kula ya familia yangu....
ila kama hujui waliyoyafanya usijali mkuu wapo wanaojua watanifahamisha

wewe elimu yako imesaidia nini nchi hii
 
nataka niwahimize wanangu wasome wawe wasomi jeshini maana inaelekea wanafanya mambo makubwa na mazuri waje wanisaidie baba yao uzeeni.. inshallah.... pia ikiwezekana na mimi niende huko kutafuta kula ya familia yangu....
ila kama hujui waliyoyafanya usijali mkuu wapo wanaojua watanifahamisha

wanayoyafanya ni ulinzi na usalama wa nchi na mipaka yake, sasa kuwa wanatimizaje azma hiyo hayo mengine! ukienda huko jua unakuwa mlinzi wa jinsi yeyote ile, ukikaa ofisini utajua unalindaje, ukiwa field pia utajua unalindaje mkuu, nawasililisha.
 
jesh lina wasomi shida kijana anataka miaka kumi kawa jeneral kisa msomi!ukiuliza kasoma nn eti uchumi au biashara au elimu sidharau ila nivema tufanye km nchi za watu hakuna kuruka cheo,unakuja na shahada unaanza na u private,koplo,sajent,sajent taji nk mpaka ujenerali hakuna kusema mm naanzia uluteni usu
 
wewe elimu yako imesaidia nini nchi hii

pato la taifa kupitia kodi ninayolipa japo sina hakika kama inafika panapostahili maana bado miundombinu ya tanzania yetu mibovu kama upo dar es salaam nadhani umeshuhudia mvua kubwa iliyosababisha madhara makubwa...
 
wanayoyafanya ni ulinzi na usalama wa nchi na mipaka yake, sasa kuwa wanatimizaje azma hiyo hayo mengine! ukienda huko jua unakuwa mlinzi wa jinsi yeyote ile, ukikaa ofisini utajua unalindaje, ukiwa field pia utajua unalindaje mkuu, nawasililisha.

ahsante mkuu sasa nimeelewa amani iliyopo nchini kwetu pongezi zinawastahili wanajeshi wetu watiifu
 
Na form 4 yangu hii ya mwisho ila kwa mwezi naingiza 1.5m
 
Wengi hawajaelewa nini maana ya ukiritimba ndo maana hata kuchangia wamekurupuka
 
Back
Top Bottom