King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 60,419
- 88,756
mkuu ungeweka picha ya mijengo hiyo mambo yangekuwa poaHabari Wana JF, Majengo ya Wema yaliyopo barabara ya bagamoyo yapo mbioni kubomolewa kupisha ujenzi wa bomba la maji al-mmarufu mradi wa m-canada,bomba ilo linatoka ruvu chini linapelaka maji mji mpywa wa bush. WEMA BUILDING:TEGETA KWA NDEVU View attachment 107617 WEMA BUILDING:BOKO BASIHAYA View attachment 107618 Nawasilisha
du! ni movie au mapouder! agent
Mapouder
Mkuu Saint Ivuga rudi ufafanue mapouder ndio nini mimi sijaelewa.
Sembe......
Kwa hiyo kuna wema Actress na Wema Sembe??? (au ni the same shit) Naomba ufafanuzi jamani hapa.. charminglady rudi tafadhali
Nadhani amesahau kidogo badala ya kuanza na M..Wema au mweee!