Majengo ya Wema mbioni Kubomolewa

Majengo ya Wema mbioni Kubomolewa

Wabongo tunaona rahisi kubomoa ghorofa kuliko kuadjust ramani ya bomba!

Wivu mbaya...
 
Wabongo tunaona rahisi kubomoa ghorofa kuliko kuadjust ramani ya bomba!

Wivu mbaya...

Sidhani kama kuna wivu mkuu, ukute mwenye hayo maghorofa anashangilia huo mradi unampa pesa, huyo ni obviously atalipwa pesa ya kutosha tu, labda kama alivamia eneo ambalo lilishatengwa kwa ajili ya mradi. Hata wenye mradi ukiona wanakubali kuingia gharama za kumlipa huyo jamaa basi ujue hawana option, yaani hawana eneo lingine la kupitisha, na hapo kwenye hayo majengo ndiyo wanaona nafuu zaidi!
 
Mihadarati..a.k.a dawa za kulevya. Nadhani wema ni jina tu la hizo nyumba, angekuwa yule wa bongo muvi ingekuwa ndio stori kila siku kwenye magazeti ya shigongo almaarufu udaku

Asante mkuu kwa kunifunua kidogo nimeelewa kuwa hilo jengo hutumika kufanyia hizo biashara IFF that is true then ni ulaji kwa polisi kama wako serious na hii vita kubwa ya Sembe.
 
Sidhani kama kuna wivu mkuu, ukute mwenye hayo maghorofa anashangilia huo mradi unampa pesa, huyo ni obviously atalipwa pesa ya kutosha tu, labda kama alivamia eneo ambalo lilishatengwa kwa ajili ya mradi. Hata wenye mradi ukiona wanakubali kuingia gharama za kumlipa huyo jamaa basi ujue hawana option, yaani hawana eneo lingine la kupitisha, na hapo kwenye hayo majengo ndiyo wanaona nafuu zaidi!

Mkuu hapo hakuna cha kulipwa coz bomba la Maji tunayotumia wakazi wa Dar ndo lilipopita;wanataka kubadilisha hilo bomba la zamani na kuweka jingine kubwa kupunguza kero ya maji hapa jijini.
Kwa ufupi,hayo majengo pamoja na mengine ambayo yameshabomolewa ili mradi uanze waliuziwa hayo maeneo na wenyeji ambao wanafahamu kbsa kuwa kuna bomba ka maji kutoka Ruvu limepita chini.Chezea bongo ww!
 
Mkuu hapo hakuna cha kulipwa coz bomba la Maji tunayotumia wakazi wa Dar ndo lilipopita;wanataka kubadilisha hilo bomba la zamani na kuweka jingine kubwa kupunguza kero ya maji hapa jijini.
Kwa ufupi,hayo majengo pamoja na mengine ambayo yameshabomolewa ili mradi uanze waliuziwa hayo maeneo na wenyeji ambao wanafahamu kbsa kuwa kuna bomba ka maji kutoka Ruvu limepita chini.Chezea bongo ww!

Kumbe ni wavamizi, hiyo imekula kwao; mtu na akili zake timam ananunua kiwanja kienyeji na kufanya projects ya milioni mia kadhaa bila kufanya uchunguzi wa kina?!!!...kweli wabongo tumezowea "madili"!!
 
Unadhani yeye ana bahati mbaya kama akina Masogange?

Mkuu, unataka kusema hayo majengo ni ya WEMA SEPETU? Sijawahi kuiskia hii, nadhani magazeti ya udaku yangekuwa yanamwita BILLIONEA!
 
nashangaa mbaka leo hii polisi na kitengo cha kuzuia dawa za kulevya hawajamkamata na kumuhoji wakati wema hana biashara ya halali yenye kipato cha kumiliki mali hizo.
 
nashangaa mbaka leo hii polisi na kitengo cha kuzuia dawa za kulevya hawajamkamata na kumuhoji wakati wema hana biashara ya halali yenye kipato cha kumiliki mali hizo.

Unafkiri kukamatwa ni rahisi hivyo, mpaka kuwe na ushahidi, siku hizi kupata pesa ya kusimamisha majengo kama hayo ni rahisi tu alimradi uwe na mpango madhubuti wa biashara. BTW, tunahitaji uthibitisho kuwa kweli hizo ni nyumba za Wema Sepetu au wema mwingine, zingekuwa zake magazeti ya udaku yangekuwa na tittle zingine kabisaa.
 
lazima wabomoe hayo majengo? nijuavo kama sio barabara hayo mabomba yanaweza kuwa diverted
unless kama wataweza kumlipa fidia mhusika kama alijenga kwa kufuata sheria zote zinazohusika
 
Wabongo tunaona rahisi kubomoa ghorofa kuliko kuadjust ramani ya bomba!

Wivu mbaya...

Acha tu kuna muarabu jirani na hilo jengo amesema mtu wa dawasco akija kubomoa ghorofa lake basi anampiga risasi ya kichwa na yeye anajimaliza,inauma kuwekeza m za kutosha halafu m2 aje kuvunja bora wa divert hlo bomba kuliko kuyabomoa.
 
Acha tu kuna muarabu jirani na hilo jengo amesema mtu wa dawasco akija kubomoa ghorofa lake basi anampiga risasi ya kichwa na yeye anajimaliza,inauma kuwekeza m za kutosha halafu m2 aje kuvunja bora wa divert hlo bomba kuliko kuyabomoa.

Watu wasioelewa wanawalaumu hawa waliojenga magorofa, lakini hawa watu wana building permit.

Kuna kipindi afisa mkuu wa ardhi wilaya ya Kinondoni alisimamishwa kazi muda mrefu sana kwa sababu ya hizi "deal" za kugawa viwanja feki. Walianzisha tabia ya kutengeneza ramani tofauti iliyopo ofisini na hali ilivyo field na hivyo kuhalalisha ugawaji wa hati. Wengine ndio kama hivyo wameuziwa kwenye miradi.

Sasa just imagine hilo jengo likibomolewa ni ajira ngapi zimepotea?

Huu uhuni unatuumiza wenyewe in the end...
 
Watu wasioelewa wanawalaumu hawa waliojenga magorofa, lakini hawa watu wana building permit.

Kuna kipindi afisa mkuu wa ardhi wilaya ya Kinondoni alisimamishwa kazi muda mrefu sana kwa sababu ya hizi "deal" za kugawa viwanja feki. Walianzisha tabia ya kutengeneza ramani tofauti iliyopo ofisini na hali ilivyo field na hivyo kuhalalisha ugawaji wa hati. Wengine ndio kama hivyo wameuziwa kwenye miradi.

Sasa just imagine hilo jengo likibomolewa ni ajira ngapi zimepotea?

Huu uhuni unatuumiza wenyewe in the end...

sure watakuwa wana permit kabisa,hayo majengo moja ni ofisi na jingine ni hotel yani ajira nyingi zitapotea.
 
Ajabu, majengo yapo ktk maeneo mawili tofauti lkn yako katika line moja... Haya ndo majengo ya mgogoro, yaliyojengwa kwa hati za mgogoro, yatavunjwa kwa mgogoro na yatalipwa kwa kesi ya mgogoro.
MPANGO UMETIMIA.
 
Back
Top Bottom