Mapouder ni madawa ya kulevya
Wema huyu huyu wa bongo movie au?
No sio Wema sepetu ni majengo ya kampuni inaitwa WEMA consult ltd ni kampuni inayojihusisha na mambo ya mazingira na umwagiliajiJe? ni huyuhuyu Sepetu au Wema ni jina tu la mijengo.
Sio utaratibu wa nchi yetu ku question fedha zote chafu,hawa matajiri wanaoibuka kama uyoga they should be question tracking their bussiness for ten year back,UTENDAJI WA SERIKALI ADILIFU UPO WAPI?, leo unaweza kwanda bank ukadiposit huge amount of money with no question /some can give other a huge amounts as shati bovu pesa yetu ni ya simbabwe
Wema kwanza ni nani ninyie watu wa dar? Kwa arusha wema ni kilaza tu mbona hana lolote!haka kaself achopewa na jammaa yangu aliyeuawa kwa risasa labda ndo mnazungumzia nini?au hamjui hilo hata kwenye msiba alikuwepo amejifunika na miwani kubwa asisomeke huo ndo uzi wenyewe.