Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,650
- 21,013
- Thread starter
- #21
mi naona siyo classic kabisa japo ni modern. angalia la Uingereza hapo juu jinsi mbao zilivyodominate! hiyo ndiyo classic.Jengo la bunge la Tanzania ndani niseme ni classic, la kisasa zaidi, linafanana sana la UKRAEN, isipokuwa rangi ya viti kule ni blue na Kwa spika ni green.