Majengo ya Mabunge ya nchi za Afrika Mashariki

Majengo ya Mabunge ya nchi za Afrika Mashariki

Red Giant

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2012
Posts
15,650
Reaction score
21,013
Uganda.

MPs-listening-to-Uhuru.jpg
 
Ifahamike Kenya kuna bunge mbili za taifa, kuna la senate ambalo linawakilisha counties/gatuzi na lile la kawaida ambalo linawakilisha maeneo bunge.
 
napenda bunge la Kenya lilivyobanana. letu lina nafasi kubwa na viti vya kuzunguka hadi watu wanalala.
Kabisa letu limezidi ukubwa, napenda udogo wa lile la Kenya pia, hata la Rwanda liko poa.
 
Jengo la bunge la Tanzania ndani niseme ni classic, la kisasa zaidi, linafanana sana la UKRAEN, isipokuwa rangi ya viti kule ni blue na Kwa spika ni green.
 
Back
Top Bottom