mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,696
- 105,697
Itakuwa mitaa ya stereo ntakpa locationOo oh OK OK wapi saivi
Ova
Itakuwa mitaa ya stereo ntakpa locationOo oh OK OK wapi saivi
Naam niliwahi kuona kweny baadhi ya movieLakini ni fursa nzuri ..ukiijengea miundombinu mizuri haitishi.. Huko kwa wenzetu makaburi ni kama masanduku yale posta.. Wenye kaburi lao wanakabidhiwa funguo wanatembea nayo wenyewe
Daaaa jamani, yani akipitia hii comment lazima uozeee jela hatokumbuka kama linagandisha 😂😂😂😂Tushawahi letaga friji kutoka Denmark
Used,lilikuwa kwa ajili ya kuwekea maiti
Ila tulijua,aliingiaga kingi mjeda mmja tukampiga kama friji nlimwambia hili ni friji la kuvuta😂😂
Anasema arooo hiri lifriji rinagandisha baraaa angejuaaa 😂😂😂
Kweli kabisa hii idea naipigiaga sana mahesabu
Ova
😂😂😂 si unajua biashara ya mausedDaaaa jamani, yani akipitia hii comment lazima uozeee jela hatokumbuka kama linagandisha 😂😂😂😂
Daa yan nawaza nikijua lilikua linaekwa watu sijui nitajisikiaje, maana tu hapa imahination zangu zinavonituma nafungua kutoa nyanya nitaanza kuona watu sio nyanya ten.😂😂😂 si unajua biashara ya maused
Alafu ukiangalia hela imejileta utaiachaje
Kikubwa aliipenda mjeda yuko mpk leo mbweni
Na tunawasiliana tu,ila ipo siku ntamchana ukweli...
Ova
Bwana eh balaaaDaa yan nawaza nikijua lilikua linaekwa watu sijui nitajisikiaje, maana tu hapa imahination zangu zinavonituma nafungua kutoa nyanya nitaanza kuona watu sio nyanya ten.
Ila uhuni wako ni nxt level
Akijua itakuwa shidaDaa yan nawaza nikijua lilikua linaekwa watu sijui nitajisikiaje, maana tu hapa imahination zangu zinavonituma nafungua kutoa nyanya nitaanza kuona watu sio nyanya ten.
Ila uhuni wako ni nxt level
Ni mazoea tuu mbona sisi mochwari tulikuwa tunaweka vinywaji vyetu kwenye yale ma freezer ya wafu?Daa yan nawaza nikijua lilikua linaekwa watu sijui nitajisikiaje, maana tu hapa imahination zangu zinavonituma nafungua kutoa nyanya nitaanza kuona watu sio nyanya ten.
Ila uhuni wako ni nxt level
Duuuuu ukiitoa unaiosha ndo unywe au? Daaa hadi nasisimka kwa kuogopaNi mazoea tuu mbona sisi mochwari tulikuwa tunaweka vinywaji vyetu kwenye yale ma freezer ya wafu?
Mi nikajua 'idea' umeitoa kwenye link flani niliiona google, ipo kama ulivyoelezea.Nitakucheki.. Huu mchongo ni fursa adhimu nimeacha uganga acha nigeukie fursa nyinginezo
Hapana kabisa ni wazo langu binafsi kabisa ila haimaanishi halijawahi kufanyiwa kazi na wengine.. Naomba link tafadhali nielimike zaidiMi nikajua 'idea' umeitoa kwenye link flani niliiona google, ipo kama ulivyoelezea.
Nilishuhudia jinsi hayo makaburi ya kupangisha yalivyo, ni vyumba vidogo vidogo mfumo wa drawers vinavyoweza kuhifadhi ukubwa wa jeneza moja kila kimoja, zilizojengwa kwenye ukuta mmoja.
Jeneza ama mkebe wa majivu ukishahifadhiwa humo, mlango hufungwa kwa slab ya zege na kuwekwa jina ama namba ya utambulishi.
Namna ndugu wanavyokuja kuondoa mabaki ya mpendwa wao, kuyahamisha ama hela ya pango kuisha, slab iliyofungia huvunjwa na kuchomoa jeneza.
Hayo mabaki yakishatolewa, chumba hubakia wazi kungojea mpangaji mwingine!