Majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga

Mshana Jr

Platinum Member
Aug 19, 2012
269,634
697,845
Naweza kuonekana mwendawazimu kwa hii mada lakini wenye kuona mbali wataona mantiki yake!
Ni hili la majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga..Maisha yanaenda kasi sana na mabadiliko mengi yasiyotarajiwa yanatokea kwa kasi kubwa...
Miaka 30 nyuma ilikuwa ni ajabu kukuta jeneza likiwa limeshatengenezwa tayari likisubiri maiti.. Iliitwa uchuro... Jeneza lilitengenezwa baada ya mtu kufa.. Na haikuwa bidhaa ya kujiingizia kipato..

Miaka 30 nyuma sehemu za kuzikia zilitolewa bure na kwa wale ambao hawakuwa na ndugu ama walikufa na hawakujulikana asili yao wala ndugu zao walizikwa na manispaa kwenye makaburi ya serikali... Siku hizi hao ndugu ni dili.. Kuna watu wananunua misiba!

Nje ya hayo ya marehemu vitu kama harusi na sherehe mbalimbali havikuwa na michango ya lazima kama ilivyo leo hii.. Sehemu za wazi ndio zilitumika na kama kuna kumbi basi zilitolewa bure au kwa malipo kidogo
Hakukuwa na caterers
Hakukuwa na ma mc wa kukodi
Hakukuwa na wapambaji wa kukodi nk
Nguo za harusi pia zilikuwa rasmi kabisa za wahusika ..hazikikodishwa kama ilivyo leo hii.. Na hizo nguo za harusi zilitunzwa mpaka kifo cha mhusika.. Na ndio nguo atakazovishwa siku yake ya mwisho duniani

Sasa kwa dunia ya wenzetu tayari wako hatua tano mbele wao hawaziki tena.. Wanachoma moto na kukodi sehemu ya kuhifadhi majivu yaliyoko kwenye jeneza dogo la mkebe.. Mkataba ukiisha wanaweza ku renew ama kuhamisha...!
Sisi huku bado hatujafikia hatua hiyo na hata hivyo sio mila na tamaduni zetu kuchoma wapendwa wetu
Kwa tunakoelekea na kwa hizi gharama kubwa za mazishi kwasasa ni lazima sasa tuanze kuangalia option ya kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga

Maisha yetu yamegawanyika katika sherehe kuu tatu 1. Kuzaliwa 2. Harusi 3. Kifo.. Kila mojawapo ya hizo ndugu jamaa na marafiki hujitahidi kulifanya tukio kubwa na la kukumbukwa kwa muda mrefu..
Sasa basi kwenye hili la kifo tuanze kujiandaa kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga

Kila mtu anapenda kitu kizuri hivyo basi kuwepo na majeneza mazuri ya kukodi.. Haya mwisho wake ni pale makaburini ambapo wakati wa kuzika ..mwili utabadilishwa na kuwekwa kwenye jeneza la kawaida tuu..kuliko kutumia gharama kubwa kununua jeneza la gharama ambalo linaenda kuharibika ardhini...!

Kuhusu makaburi ya kupanga iko hivi... Unapata msiba wa ndugu yako, mwanao mke,mume nknk.. Lakini kipindi hicho mambo yako bado hayako kivile na huna kwako mwenyewe unaishi sehemu ya kupanga ...Kwenye situation kama hii ukipata msiba unaweza kwenda kuhifadhi mwili kwenye makaburi ya kupanga mpaka utakapopata sehemu yako mwenyewe...

Nitandelea
 
Naendelea...
Utawezaje kufanya hii biashara?
1. Majeneza ya kukodi
Unakuwa na majeneza ya size tofauti, ubora tofauti, rangi tofauti, material tofauti..
Unakodisha kila jeneza kwa nusu au robo ya thamani yake
Unatoa ofa ya usafiri nusu bei
Kukodi ni kuazia siku moja mpaka mwezi mmoja kulingana na mahitaji ya mteja
Gharama za kulisafisha na kulirudisha ni zako mkodishaji
Na mikoani unatuma ikitokea mkoa husika hauna huduma
Jeneza linakuwa na bima kubwa
Mteja wa mara ya pili anapata punguzo ..
Mteja wa mara tatu ya nne unampa free
Nknk

2. Makaburi ya kupanga
Unatakiwa kuwa na eneo unalomiliki kihalali .. Unalizungushia ukuta na kuweka huduma muhimu kama
Sehemu ya kuagia
Sehemu ya mapumziko
Parking
Ofisi
Ghala nknk

Makaburi yatakuwa sio ya ardhini bali yatakuwa kwenye mfumo wa vyumba visivyopenyeza hewa
Makaburi yatakuwa ya ubora na viwango tofauti
Muda wa kukodi ni kuanzia mwezi mpaka hata miaka kumi nknk
 
Mzee wa meli mbovu.....
Sema mchongo kumiliki eneo la kuzikia unauza nafasi kwa bei chee. Nafasi unaziweka kwenye mpangilio mzuri ndani ya uzio/fence.

Imagine una heka 20 unakata nafasi za 1m by 3m kwenye heka 20 unapata nafasi ngapi.

Unaweza ukawa unauza kwa 100k na service charge ya 50k kwa mwaka kwaajili ya usafi na ulinzi.

Una ajiri na vijana kabisa.

Ukihitaji business plan ya huu mchongo ni ping PM. Bei ni 250k.
 
Mzee wa meli mbovu.....
Sema mchongo kumiliki eneo la kuzikia unauza nafasi kwa bei chee. Nafasi unaziweka kwenye mpangilio mzuri ndani ya uzio/fence.

Imagine una heka 20 unakata nafasi za 1m by 3m kwenye heka 20 unapata nafasi ngapi.

Unaweza ukawa unauza kwa 100k na service charge ya 50k kwa mwaka kwaajili ya usafi na ulinzi.

Una ajiri na vijana kabisa.

Ukihitaji business plan ya huu mchongo ni ping PM. Bei ni 250k.
Nitakucheki.. Huu mchongo ni fursa adhimu nimeacha uganga acha nigeukie fursa nyinginezo
 
Naweza kuonekana mwendawazimu kwa hii mada lakini wenye kuona mbali wataona mantiki yake!
Ni hili la majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga..Maisha yanaenda kasi sana na mabadiliko mengi yasiyotarajiwa yanatokea kwa kasi kubwa...
Miaka 30 nyuma ilikuwa ni ajabu kukuta jeneza likiwa limeshatengenezwa tayari likisubiri maiti.. Iliitwa uchuro... Jeneza lilitengenezwa baada ya mtu kufa.. Na haikuwa bidhaa ya kujiingizia kipato..

Miaka 30 nyuma sehemu za kuzikia zilitolewa bure na kwa wale ambao hawakuwa na ndugu ama walikufa na hawakujulikana asili yao wala ndugu zao walizikwa na manispaa kwenye makaburi ya serikali... Siku hizi hao ndugu ni dili.. Kuna watu wananunua misiba!

Nje ya hayo ya marehemu vitu kama harusi na sherehe mbalimbali havikuwa na michango ya lazima kama ilivyo leo hii.. Sehemu za wazi ndio zilitumika na kama kuna kumbi basi zilitolewa bure au kwa malipo kidogo
Hakukuwa na caterers
Hakukuwa na ma mc wa kukodi
Hakukuwa na wapambaji wa kukodi nk
Nguo za harusi pia zilikuwa rasmi kabisa za wahusika ..hazikikodishwa kama ilivyo leo hii.. Na hizo nguo za harusi zilitunzwa mpaka kifo cha mhusika.. Na ndio nguo atakazovishwa siku yake ya mwisho duniani

Sasa kwa dunia ya wenzetu tayari wako hatua tano mbele wao hawaziki tena.. Wanachoma moto na kukodi sehemu ya kuhifadhi majivu yaliyoko kwenye jeneza dogo la mkebe.. Mkataba ukiisha wanaweza ku renew ama kuhamisha...!
Sisi huku bado hatujafikia hatua hiyo na hata hivyo sio mila na tamaduni zetu kuchoma wapendwa wetu
Kwa tunakoelekea na kwa hizi gharama kubwa za mazishi kwasasa ni lazima sasa tuanze kuangalia option ya kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga

Maisha yetu yamegawanyika katika sherehe kuu tatu 1. Kuzaliwa 2. Harusi 3. Kifo.. Kila mojawapo ya hizo ndugu jamaa na marafiki hujitahidi kulifanya tukio kubwa na la kukumbukwa kwa muda mrefu..
Sasa basi kwenye hili la kifo tuanze kujiandaa kuwa na majeneza ya kukodi na makaburi ya kupanga

Kila mtu anapenda kitu kizuri hivyo basi kuwepo na majeneza mazuri ya kukodi.. Haya mwisho wake ni pale makaburini ambapo wakati wa kuzika ..mwili utabadilishwa na kuwekwa kwenye jeneza la kawaida tuu..kuliko kutumia gharama kubwa kununua jeneza la gharama ambalo linaenda kuharibika ardhini...!

Kuhusu makaburi ya kupanga iko hivi... Unapata msiba wa ndugu yako, mwanao mke,mume nknk.. Lakini kipindi hicho mambo yako bado hayako kivile na huna kwako mwenyewe unaishi sehemu ya kupanga ...Kwenye situation kama hii ukipata msiba unaweza kwenda kuhifadhi mwili kwenye makaburi ya kupanga mpaka utakapopata sehemu yako mwenyewe...

Nitandelea
Upo sahihi. Kama ulivyogusia hapo juu, kuna suala la mila na desturi. Mazingira na mabadiliko yanayoikumba jamii husababisha watu kubadilika hata wasipotaka. Ni nani alijua leo Mmaasai angeonekana akilinda maduka na mageti mijini? Ni nani alijua Wamaasai wangekuwa wanauza vifaa maarufu kama culture (bangili, ndala n.k.), vipi kuhusu ususi? Miaka ileee tulizoea kuwaona wale 'ukisimama nchale, ukichuchumaa nchale', leo wamepinduliwa. Changamoto zinaendelea kwenye mazingira yao zimewafanya kubadili mtindo wa maisha.

Kama haitoshi, miaka ya 70 , 80 hadi 90 ilikuwa adimu kidogo kukuta bibi harusi kitumbo kimechomoza ndani ya shela, siku hizi ndiyo habari ya mjini. Kumbe tunaweza kubadilika, kwa kupenda ama kutopenda.

Hata hivyo, si vyote hubadilika kirahisi. Kuna yale mambo ambayo ni kiini (central) kama haya ya misiba na ndoa huwa kubadilika kwake ni kwa spidi ndogo ukilinganisha na yale mambo ya pembezoni (peripheral ) kama vile uvaaji. Haya mambo madogomadogo yanayoanza kujitokeza kwenye masuala ya kiini kama watu kuishi bila ndoa, kuzini kabla ya ndoa, kupendezesha misiba kwa uvaaji na namna zoezi zima linavyofanyika ni hatua kuelekea kuyaondoa masuala haya ya kiini. Kwahiyo, ipo siku tutachoma wafu wetu ikibidi, hata kama si leo. Pia, ipo siku watanzania hawatoshughulishwa na ndoa. Ndoa itabaki kwa ajili ya masuala ya ugawanaji mali na ulezi wa watotto tu. Leo bado wabongo utakuta wanawasumbua kweli vijana wasiooa ama kuolewa. Ipo siku yatakwisha. Sijua tutahamia kwenye kipi.

Shukrani
 
Naendelea...
Utawezaje kufanya hii biashara?
1. Majeneza ya kukodi
Unakuwa na majeneza ya size tofauti, ubora tofauti, rangi tofauti, material tofauti..
Unakodisha kila jeneza kwa nusu au robo ya thamani yake
Unatoa ofa ya usafiri nusu bei
Kukodi ni kuazia siku moja mpaka mwezi mmoja kulingana na mahitaji ya mteja
Gharama za kulisafisha na kulirudisha ni zako mkodishaji
Na mikoani unatuma ikitokea mkoa husika hauna huduma
Jeneza linakuwa na bima kubwa
Mteja wa mara ya pili anapata punguzo ..
Mteja wa mara tatu ya nne unampa free
Nknk

2. Makaburi ya kupanga
Unatakiwa kuwa na eneo unalomiliki kihalali .. Unalizungushia ukuta na kuweka huduma muhimu kama
Sehemu ya kuagia
Sehemu ya mapumziko
Parking
Ofisi
Ghala nknk

Makaburi yatakuwa sio ya ardhini bali yatakuwa kwenye mfumo wa vyumba visivyopenyeza hewa
Makaburi yatakuwa ya ubora na viwango tofauti
Muda wa kukodi ni kuanzia mwezi mpaka hata miaka kumi nknk
Duu hii ni fursa? Inaogopesha lkn
 
Upo sahihi. Kama ulivyogusia hapo juu, kuna suala la mila na desturi. Mazingira na mabadiliko yanayoikumba jamii husababisha watu kubadilika hata wasipotaka. Ni nani alijua leo Mmasai angeonekana akilinda maduka na mageti mijini? Ni nani angetujua Wamasai wangekuwa wanauza vifaa vya cultures (bangili, nadala n.k.), vipi kuhusu ususi? Miaka ileee tulizoea kuwaona wale 'ukisimama nchale, ukichuchumaa nchale', leo wamepinduliwa. Changamoto zinaendelea kwenye mazingira yao zimewafanya kubadili mtindo wa maisha.

Kama haitoshi, miaka ya 70 , 80 hadi 90 ilikuwa adimu kidogo kukuta bibi harusi kitumbo kimechomoza ndani ya shela, siku hizi ndiyo habari ya mjini. Kumbe tunaweza kubadilika, kwa kupenda ama kutopenda.

Hata hivyo, si vyote hubadilika kirahisi. Kuna yale mambo ambayo ni kiini (central) kama haya ya misiba na ndoa huwa kubadilika kwake ni kwa spidi ndogo ukilinganisha na yale mambo ya pembezoni (peripheral ) kama vile uvaaji. Haya mambo madogomadogo yanayoanza kujitokeza kwenye masuala ya kiini kama watu kuishi bila ndoa, kuzini kabla ya ndoa, kupendezesha misiba kwa uvaaji na namna zoezi zima linavyofanyika ni hatua kuelekea kuyaondoa masuala haya ya kiini. Kwahiyo, ipo siku tutachoma wafu wetu ikibidi, hata kama si leo. Pia, ipo siku watanzania hawatoshughulishwa na ndoa. Ndoa itabaki kwa ajili ya masuala ya ugawanaji mali na ulezi wa watotto tu. Leo bado wabongo utakuta wanawasumbua kweli vijana wasiooa ama kuolewa. Ipo siku yatakwisha. Sijua tutahamia kwenye kipi.

Shukrani
Asante kwa mtazamo na uchambuzi mzuri.. Ni kweli kuna mambo automatically yatakuja kufa kulingana na mahitaji ya nyakati na mengine yatabadilishwa na wakati
 
Naendelea...
Utawezaje kufanya hii biashara?
1. Majeneza ya kukodi
Unakuwa na majeneza ya size tofauti, ubora tofauti, rangi tofauti, material tofauti..
Unakodisha kila jeneza kwa nusu au robo ya thamani yake
Unatoa ofa ya usafiri nusu bei
Kukodi ni kuazia siku moja mpaka mwezi mmoja kulingana na mahitaji ya mteja
Gharama za kulisafisha na kulirudisha ni zako mkodishaji
Na mikoani unatuma ikitokea mkoa husika hauna huduma
Jeneza linakuwa na bima kubwa
Mteja wa mara ya pili anapata punguzo ..
Mteja wa mara tatu ya nne unampa free
Nknk

2. Makaburi ya kupanga
Unatakiwa kuwa na eneo unalomiliki kihalali .. Unalizungushia ukuta na kuweka huduma muhimu kama
Sehemu ya kuagia
Sehemu ya mapumziko
Parking
Ofisi
Ghala nknk

Makaburi yatakuwa sio ya ardhini bali yatakuwa kwenye mfumo wa vyumba visivyopenyeza hewa
Makaburi yatakuwa ya ubora na viwango tofauti
Muda wa kukodi ni kuanzia mwezi mpaka hata miaka kumi nknk
Mjeneza ya kukodi inabidi yawe karibu na sehem ya maziko maana kama msiba upo Mtwara mazishi mwanza ukodi usafirishe mpaka mwanza halafu urudishe tena jeneza mpaka mtwara gahrama na usumbufu hapo vipi?
2.pia kwenye makaburi ya kupanga kama ji nyumba yenye vyumba hapo kuzuia nyumba isinuke baada ya maiti kuoza na wakati huo huo wengine wanafanya utaratibu wa kuzika wenzao upo je?
 
Lakini ni fursa nzuri ..ukiijengea miundombinu mizuri haitishi.. Huko kwa wenzetu makaburi ni kama masanduku yale posta.. Wenye kaburi lao wanakabidhiwa funguo wanatembea nayo wenyewe
Long time kuna mfaransa mmoja alikujaga na michongo hii,ya kuandaa miili,majeneza,etc
Alifunguaga ofisi mikocheni mitaa karibu na clouds ila alikujaga kuondokaga

Mimi kuna idea naipigiaga sana mahesabu ya kuhifadhi miili,na kuiweka sawa kwa ajili kwenda kuzika

Hii michongo ina hela sema kwa sababu ya kuhusisha vifo,watu wanaogopa kuwekeza

Ova
 
Long time kuna mfaransa mmoja alikujaga na michongo hii,ya kuandaa miili,majeneza,etc
Alifunguaga ofisi mikocheni mitaa karibu na clouds ila alikujaga kuondokaga

Mimi kuna idea naipigiaga sana mahesabu ya kuhifadhi miili,na kuiweka sawa kwa ajili kwenda kuzika

Hii michongo ina hela sema kwa sababu ya kuhusisha vifo,watu wanaogopa kuwekeza

Ova
Unajua mrangi kuna mengi tunaweza kufanya pamoja hebu fanya tuwe na kikao kaka
 
Mjeneza ya kukodi inabidi yawe karibu na sehem ya maziko maana kama msiba upo Mtwara mazishi mwanza ukodi usafirishe mpaka mwanza halafu urudishe tena jeneza mpaka mtwara gahrama na usumbufu hapo vipi?
2.pia kwenye makaburi ya kupanga kama ji nyumba yenye vyumba hapo kuzuia nyumba isinuke baada ya maiti kuoza na wakati huo huo wengine wanafanya utaratibu wa kuzika wenzao upo je?
Unakuwa na ofisi mikoani lakini pia kwenye biashara unaangalia usumbufu na faida kama unapata chochote kitu sio mbaya
Na kuhusu kuzima ni makaburi ambayo ni air tight hivyo harufu haiwezi kutoka
 
Unajua mrangi kuna mengi tunaweza kufanya pamoja hebu fanya tuwe na kikao kaka
Tushawahi letaga friji kutoka Denmark
Used,lilikuwa kwa ajili ya kuwekea maiti
Ila tulijua,aliingiaga kingi mjeda mmja tukampiga kama friji nlimwambia hili ni friji la kuvuta😂😂
Anasema arooo hiri lifriji rinagandisha baraaa angejuaaa 😂😂😂

Kweli kabisa hii idea naipigiaga sana mahesabu

Ova
 
Unakuwa na ofisi mikoani lakini pia kwenye biashara unaangalia usumbufu na faida kama unapata chochote kitu sio mbaya
Na kuhusu kuzima ni makaburi ambayo ni air tight hivyo harufu haiwezi kutoka
Maiti hainaga usumbufu lbda usumbufu utoke kwa ndugu

Ova
 
Tushawahi letaga friji kutoka Denmark
Used,lilikuwa kwa ajili ya kuwekea maiti
Ila tulijua,aliingiaga kingi mjeda mmja tukampiga kama friji nlimwambia hili ni friji la kuvuta
Anasema arooo hiri lifriji rinagandisha baraaa angejuaaa

Kweli kabisa hii idea naipigiaga sana mahesabu

Ova
Hahahaha
 
Ofisi yetu pale ilikuwa na vituko sana
Maana kna mtu alituqmbia iko siku tutakuja kuleta bomu
Sema pale sahv tulihama,tulisimama ujue maanq makodi etc ila Dec Black Market ent inarudi

Ova
Oo oh OK OK wapi saivi
 
Back
Top Bottom