Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,375
Mwenye kujua atujuze kwani nafahamu ipo miili ambayo hukaushwa na kubaki kama ilivyo na mingine sujui huwekewa vioo watu watazame, n.k.
Kwa Tanzania yetu hii, viongozi majeneza yao hushindiliwa na udongo kama ya watu wa kawaida au wao huzikwa kwa namna tofauti majeneza yao hayakutani na udongo?
Na kama ni hivyo, wanapotupia udongo kwenye kaburi huwa ni kiasi kidogo tu kama ishara ya kumzika marehemu?
Kwa Tanzania yetu hii, viongozi majeneza yao hushindiliwa na udongo kama ya watu wa kawaida au wao huzikwa kwa namna tofauti majeneza yao hayakutani na udongo?
Na kama ni hivyo, wanapotupia udongo kwenye kaburi huwa ni kiasi kidogo tu kama ishara ya kumzika marehemu?