Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
swali tangazo la hii tenda lilitolewa lini na SUMATRA na je mbona hatujaambiwa kama sheria za PPRA zilifuatwa na mchakato uliofanywa uliwapitisha akina nani mpaka akapatikana huyu Majembe?
surely kwa issue controversial kama UBUNGO BUS stop ilitakiwa SUMATRA waonyeshe due to public interest Business plan yao nzima na malengo gani wanayo katika kufanya kile kituo kiwe user friendly
au tunakosea kuuliza?
Halafu kwa nini PINDA hataki tuone first (original ) version ya ripoti ya CAG kuhusu UBUNGO?
surely kwa issue controversial kama UBUNGO BUS stop ilitakiwa SUMATRA waonyeshe due to public interest Business plan yao nzima na malengo gani wanayo katika kufanya kile kituo kiwe user friendly
au tunakosea kuuliza?
Halafu kwa nini PINDA hataki tuone first (original ) version ya ripoti ya CAG kuhusu UBUNGO?