Majanga UDSM:Zaidi ya wanafunzi 500 wamedisco katika mwaka wa masomo 2012/13

Cha kuzingatia UDSM mko wangapi chuo kizima, Mi naweza sema huo ni ufaulu wa kishindo kwa chuo km UDSM.
Anyway kwa waliodisco poleni sn na uvumilivu unawahusu. kwa wenye supprementary uvumilivu,studying hard na kumuomba sn mungu vinawahusu pia.
***OVER**
 
HAHAHAHAAAAH umenikumbusha Ngowi na mikasa ya Proba , daaah maisha ya chuo yanatiaga wazimu sana

Ngowi hata kama anafundisha hesabu za kujumlisha kama ni option usiguse maana uwezekano wa kuchomoka utakuwa mdogo sana hasa mkimkorofisha jamaa yake Nassoro kwenye Analytical Calculus
 
Kama ufundishaji ni wa kumfanya mwanafunzi ajitafutie zaidi, kizazi hiki cha wapenda starehe wengi udisco na kusup.
 
jamani hivi mtu aki disco anaruhusiwa tena ku apply chuo ngazi ya degree? je kuna uwezekano wa kupewa loan kutoka serikalini?
 
bora hata dv 0 ya form 4 ataringa kwa sababu atapewa leaving certificate.ila ukidisco ndo kwa heri,hupewi chochote.
Kumbe university kugumu kiasi hicho.leo ndo nimeamini advance na chuo bora uende chuo aisee ukapate experience mapema ili badae usipate tabu.kama mtu ana div 1 ya 3 au 5 alafu anaferi chuo basi si mchezo
 
Hapa kuna moja kati ya haya..
1. Waliojiunga wengi ni vilaza...
2. Wakufunzi hawajui kutoa nyanga...
3. Mchanganyiko wa yote hapo juu..
4. Kuna kuchukuliana mademu kati ya wakufunzi na wanafunzi..
5. Background ya wanafunzi kishule si ya kujiunga na UDSM...

Hilo no 1 na no 2 linachangia kwa kiasi kikubwa kutokana na maandalizi ya makamanda wetu wawapo O level na A level maana wengi hujiandaa kwa kusoma tuition ambazo nyingi ni ku-solve past paper hivyo pamoja na kwamba mwanafunzi amefaulu lakini maswali yote ameshayasolve in advance na bahati mbaya hata watungaji wa mitiani nao ni watu wa ku-copy na ku-paste hivyo watoto hawakutani na vitu vipya kwenye mitihani yao ya kila siku mashuleni mpaka kwenye NECTA hivyo wakija chuo method ya ufundishaji inakuwa tena tofauti na wao walivyozoea na ndio maana those years mtu unakuta kapiga division 3 tu lakini anakuwa ana nyanga za kutosha kuliko hawa makamanda wetu wengine unakuta kapiga one kali ukichanganya tena wanaowafundisha ndio hao waliobalizwa kwa kigezo kimoja tu cha GPA ya kutosha.

Ila sio kosa lao ni mfumo ndio umewatengeneza hivyo kuna haja ya kuwatia moyo
 
vijana wameamua kujikita kwenye PhD za ngono wakati hawajafaulu hata undergraduate ya Mkandara sasa hapo unategemea nini? ...ngoja wadakwe kwanza ili waliobaki wajifunze kuacha tabia za kidiamond diamond
 
Kumbe UD hawajui kukamata yaani wanafunzi zaidi ya elfu 10 wanakamatwa kiduchu hivyo? Au vijana wa UDSM vipanga sana nini?
 
.lack of seriousness n commitment kwenye masomo ndio chanzo cha yote
Vijana kufanya anasa.wanawake.club na pombe ndo dili afu
Mtu akiwa anakomaa anaonekana mlugaluga na mshamba Wa jiji... Haya hongereni wataalam Wa mishe na wazee Wa jiji kwa sup n disco
Mkafanye anasa vyema sasa
 
Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9

Ulitakaje? Wapite tu? Hao 500 wamesoma shule za kata, unategemea nini akiwa CHUO kikuu?
 
Unaruhusiwa boy,bt kurejesha tena uchumba na bodi lazma ulipe 25% ya pay uliyo2mia ksha uombe tena.Bt tcu hawana tatzo kabsa,ata leo waweza apply na kupata selection!vp boy,wamekula kchwa nn!km vp n PM nkuelekeze
 
Kama husomi unastahili kufeli, sasa kuna watu wapo chuoni kuuza sura, wengine kujiuza na wengine kubadili mabwana nao wakifeli tulalamike. Mtu km hasomi ni halali adisco kwani tukiwalea hawa ndo tutazalisha mainjinia wanao angusha majengo kila siku na madakitar wanaofanya opareshen kichwa badala ya miguu na walimu wanaofurahia kufeli na kupeana mipango ya namna ya kufelisha
 
Zaidi ya wanafunzi 500 wa udsm wamedisco ktk mwaka huu wa masomo huku wengine zaidi ya 9000 wakitakiwa kufanya mitihani ya supplementary.mpashaji wangu wa habari,amenidadavulia idadi ya waliodisco kwa kila college kama ifuatavyo
1}CASS-141
2}COET-137
3}CONAS-98
4}COICT-59
5}UDSL-42
6}UDBS-17
7}UDSE-9

Na hapo wamestandadise, chezeya mapenzi wewe.Nyie kila siku mpo kwenye facebook,sijui twitter unategemea nini kama si kuvuna mlichopanda
 
hao wahadhiri nao wanakomoa. Wanafunzi nao wapunguze kujisahau. Siku hizi udsm tuition ni jambo la kawaida sana ikimaanisha kuwa wengi darasani huwa wanatoka kapa.
 
Karibuni STREET UNIVERSITY...huku hakuna hayo mambo ya kudisko...huku ni tambaraaare..kuna kozi nyingi sana kama kuchoma mahindi, kukaanga mihogo, kuuza chenji stendi za daladala, kusafirisha unga(cocaine)..kwa wale wenye ubavu wao kuna kozi ya kubeba zege..kumbuka KOZI ni BURE...Karibuni tulijenge taifa kupitia mlango wa nyuma...

Hahahahaha whatever I got stress or bored JF it my place to be...
 
Back
Top Bottom