Wewe Polisi Mstahafu unaonyesha jinsi gani kichwa chako kilivyojaa maji,hivi hakuna usalama wa taifa? Kipindi cha nyerere jambazi akipanda basi kuelekea eneo la tukio tu askari washajua,nyie polisi wa sasa ni wa kimaslahi mpo kwenye payroll ya majambazi hamlindi chochote,ukiona askari wanazunguka na defenda sio kwamba wapo lindoni hapana wapo wanatafuta watu waliobeba tv/friji/deck,nondo,cement ili wagawane nao! Polisi kuna kitengo cha ukanzu hao ndio kazi yao kujichomeka sehemu zote na kuwa na mtandao wa chini kwa chini kwa informers wao kupata taarifa zote au jambo lisilo la kawaida,ukiona hata boda boda au gari alieleweki hutoa taarifa fasta na kufanya ukaguzi hizo inatakiwa muwe proactive!