Polis vyeo vyao vinapanda kwa kuwadhibiti wapinzani na kamwe sio najambazi
Hao lazima watakua wametoka kwa Katibu mkuu maana si ndio juzi alimalizia ziara yake hapo?
Polis vyeo vyao vinapanda kwa kuwadhibiti wapinzani na kamwe sio najambazi
Hebu wewe jinias utuambie ni wakati gani majambazi watavamia na wapi?
Akili zenu ziko makalioni nyie kenge, mnadhani polisi ni Yesu watajua wakati majambazi wanavamia?
Niliambiwa waliuliwa watu wawili' katika maelezo yako kama sijakuelewa vibaya inaonyesha kauwawa mtu mmoja nisahihishe hapo ndugu. Asante kwakutujuza zaidi.ni kweli umeme ulikatika tangu sa 11 jioni kibaha nzima ndo tukio likatokea maili 1
walikua wamemfuatilia mzee 1 omwenye kibegi wakampiga mbili za kifua na kuondoka na kibegi..
pia wakaaingia kwenye mpesa na duka 1 wakachukua ela
Duuuh
Yani leo polisi kujisahau kidogo na chadema watu wanafanya yao?
Wanalinda maandamano uku wanasahau kwingine?
R.I.P Walipoteza maisha
Sasa ulitaka aende na kirungu kupambana nayo?
Mimi ndio maana niliamua kuacha hii kazi ya kulinda kenge wasio na shukurani...
Policcm mibichwa maji kweli wao wapo busy na cdm intellegensia ya majambazi huwa hawapati kabisa!!
Eneo lolote analopita NAPE akiondoka lazima ujambazi ufanyike kwani wanachama wao wengi ni wale wahalifu wanaotumia CCM kama chaka la kujificha hivyo wakiwa katika ziara zao hawawezi kuondoka bila kufanya kazi yao waliyoizoea.
hapo kuna vipusa mkuu?
hao majambazi jana waliamulia kweli kibaha, maana wamevamia hadi maeneo ya kwa mathias
namshukuru MUNGU kuninusuru na watu wale, nilikuwa mwanariadha kwa muda mfupi
haya mambo yasikie tu kwa jirani
hahahaaa jamani mama watoto we ni full FILBERT BAYI.. dahh kweli unaogopa kufa.. pole lakini mke wangu kipenzi jamani.. romantic eyes
Hii nchi iko vizuri sana sana. Tatizo ni uelewa wa Watanzania. Uvamizi na ujambazi ni sehemu ya maendeleo ya nchi na kama nchi haina ujambazi basi ujue hakuna maendeleo. Ujambazi uko katika levels tofauti kutegemeana na nchi. Ulaya ni zaidi ila watu hawawezi kufeel kwa kuwa ni wa high tech. Marekani ndo balaa zaidi.Tatizo wa huku Africa unaambatana na mauaji. Lakini Ujambazi ni popote na muda wowote bila kujali chochote