Majambazi wamevamia Kibaha

Majambazi wamevamia Kibaha

Sasa ulitaka aende na kirungu kupambana nayo?

Mimi ndio maana niliamua kuacha hii kazi ya kulinda kenge wasio na shukurani...
piga ua zaragaza zika fukua wewe lazima utakuwa chris lukos. .
..kenge ww
 
Kuna mambo manne ningeweka death penalties: Murder, Ujambazi wa silaha (hata kama hakuna aliyeuliwa), kubaka watoto na kwa watu wa sembe kubwa (sio wateja).
 
Sasa ulitaka aende na kirungu kupambana nayo?

Mimi ndio maana niliamua kuacha hii kazi ya kulinda kenge wasio na shukurani...


Umeamua kukimbia kashfa Rambirambi za Mwangosi eeeh
 
JJ10 tunasubiria taarifa zaidi
 
Last edited by a moderator:
Sasa ulitaka aende na kirungu kupambana nayo?

Mimi ndio maana niliamua kuacha hii kazi ya kulinda kenge wasio na shukurani...

wewe kweli kenge maji dhiki zako ndio zilisababisha uende upolisi bila elimu miaka kibao kama kuruta
 
Mipolisi yenyewe inakaa nyumba mbovu juu bati chini bati na mshahara mbuzi lakini inatumikishwa na wanaopokea laki3deile
 
Hebu wewe jinias utuambie ni wakati gani majambazi watavamia na wapi?

Akili zenu ziko makalioni nyie kenge, mnadhani polisi ni Yesu watajua wakati majambazi wanavamia?

Kwi kwi ex cop, mbona intelijensia ya maandamano huwa mnaipata mapema? Au mnafikiri majambazi huwa yanakurupuka? Fanyeni kazi zenu, acheni kutumika. Ishini na raia vizuri mpate habari, ona sasa mnavua magwanda na kuwakimbia hata kabla hawajawaambia mfanye hivyo! Je mkiambiwa mvue na kukimbia mtafanyaje?
 
Kwi kwi ex cop, mbona intelijensia ya maandamano huwa mnaipata mapema? Au mnafikiri majambazi huwa yanakurupuka? Fanyeni kazi zenu, acheni kutumika. Ishini na raia vizuri mpate habari, ona sasa mnavua magwanda na kuwakimbia hata kabla hawajawaambia mfanye hivyo! Je mkiambiwa mvue na kukimbia mtafanyaje?
Kwa hiyo ulitaka ni risk maisha yangu kwa ajili yako?

Kwa uzuri gani ulionao??????
 
Polisi, wanajeshi na usalama wa Tanzanua uko busyna CDM. Ndiyo maana mabomu warushaji hawajulikani, watesaji wanaharakati nao hawajulikani.
 
Back
Top Bottom