Majambazi wamevamia Kibaha

Majambazi wamevamia Kibaha

Hii nchi ishakuwa kama Nigeria aisee


Kuna waziri miaka ya 2006 - 2008 alisema watanzania tunalalamika na ujambazi huu mdogo je hali ikifikia kama ya South Afrika

Hali imefika tulipo kwakuwa viongozi wetu hupenda kujilinganisha na nchi jirani kwa kila jambo, wakiambiwa jambo fulani lidhibitiwe, wanasema mbona Kenya..... Mbona Rwanda...... Mbona Uganga.....etc badala ya kutimiza wajibu wao kudhibiti uhalifu na matatizo, wanasahau kuwa mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
 
hiyo issue sio kweli niko chalinze nimeuliza watu wa Kibaha
Usikimbie na mambo' tulia fuatilia mambo ndo uandike kitu hapa. Unabisha wakati mimi niliongea na nesi ambaye alikwepo night shift hospital ya Tumbi na alithibitisha kwamba wamepokea mwili na majeruhi wa hilo tukio.
 
Hebu wewe jinias utuambie ni wakati gani majambazi watavamia na wapi?

Akili zenu ziko makalioni nyie kenge, mnadhani polisi ni Yesu watajua wakati majambazi wanavamia?

Kwa hiyo uko ccp uwa mnajifunza mwandiko tu?
 
Hao lazima watakua wametoka kwa Katibu mkuu maana si ndio juzi alimalizia ziara yake hapo?
 
Kuna mambo manne ningeweka death penalties: Murder, Ujambazi wa silaha (hata kama hakuna aliyeuliwa), kubaka watoto na kwa watu wa sembe kubwa (sio wateja).

true in life,jambaz,mbakaji,muuza unga na muuaji hawa wa kunyongwa
 
Hebu wewe jinias utuambie ni wakati gani majambazi watavamia na wapi?

Akili zenu ziko makalioni nyie kenge, mnadhani polisi ni Yesu watajua wakati majambazi wanavamia?

Wewe Polisi Mstahafu unaonyesha jinsi gani kichwa chako kilivyojaa maji,hivi hakuna usalama wa taifa? Kipindi cha nyerere jambazi akipanda basi kuelekea eneo la tukio tu askari washajua,nyie polisi wa sasa ni wa kimaslahi mpo kwenye payroll ya majambazi hamlindi chochote,ukiona askari wanazunguka na defenda sio kwamba wapo lindoni hapana wapo wanatafuta watu waliobeba tv/friji/deck,nondo,cement ili wagawane nao! Polisi kuna kitengo cha ukanzu hao ndio kazi yao kujichomeka sehemu zote na kuwa na mtandao wa chini kwa chini kwa informers wao kupata taarifa zote au jambo lisilo la kawaida,ukiona hata boda boda au gari alieleweki hutoa taarifa fasta na kufanya ukaguzi hizo inatakiwa muwe proactive!
 
Naambiwa kuna askari alikuwa maeneo yakaribu baada yakuona majambazi yana mashine za hatari eti kavua gwanda la juu kakimbia
kifua wazi kuogopa asijulikane na hao jamaa.

hii ni hatari kwa taifa
 
Naambiwa kuna askari alikuwa maeneo yakaribu baada yakuona majambazi yana mashine za hatari eti kavua gwanda la juu kakimbia
kifua wazi kuogopa asijulikane na hao jamaa.

Teh teh teh! Huyu watoto wake watakuwa bado wanamhitaji ndio maana kaamua kusepa, mambo mengine unaangalia bhana, ww una watu kibao wanakutegemea unajipeleka tuu.
 
Hebu wewe jinias utuambie ni wakati gani majambazi watavamia na wapi?

Akili zenu ziko makalioni nyie kenge, mnadhani polisi ni Yesu watajua wakati majambazi wanavamia?

we ndio umeongea kama unakunya vile maana hujui hata majukumu ya askari nini?? Kamuulize mangu wale askari waao zurura kila mitaa wakiwa na pikipiki huwa wanafanya nini? Swala si kuwa na taarifa za tukio swala ni kupata taarifa za tukio kwa haraka na kufanya maamuzi.
 
Kuna mambo manne ningeweka death penalties: Murder, Ujambazi wa silaha (hata kama hakuna aliyeuliwa), kubaka watoto na kwa watu wa sembe kubwa (sio wateja).

Usisahau mafisadi, moja ya sababu za kukithiri ujambazi ni maisha magumu yanayosababishwa na watu wachache kubaka uchumi wa nchi kwa manufaa binafsi na wengine kubaki katika dimbwi la umasikini uliokithiri.

Ukitaka kuangamiza magugu shughulikia mizizi
 
ni kweli umeme ulikatika tangu sa 11 jioni kibaha nzima ndo tukio likatokea maili 1
walikua wamemfuatilia mzee 1 mwenye kibegi wakampiga mbili za kifua na kuondoka na kibegi..
pia wakaaingia kwenye mpesa na duka 1 wakachukua ela
 
Back
Top Bottom