Pamoja na juhudi za JPM kuhakikisha anawafikiria sana wanajeshi na mapolisi katika baadhi ya nyadhifa haswa u-DC na u-RC, lakini katika tukio la kushangaza mkoani Mara wilaya ya Ngara kijiji cha Benako majambazi wameteka kijiji kwa masaa matatu.
MY TAKE:
JPM siku anaelezea kwanini amechagua wanajeshi kushika hizo nafasi alisema ni "coz of wanauzoefu na mambo ya usalama" hiyo wilaya ya ngara ipo chini ya LUTENI KANALI. Michael M. Mtenjele.
Sasa kama majambazi watano tu wanafunga kijiji kwa masaa matatu bila ya polisi wala msaada mwingine wowote kufika eneo la tukio, je hizi wilaya zitakua salama kweli kama JPM alivyotuhaidi....?
ulikuwa wapi jamani????????Ndio nimeisikia leo Redio One. Kwa sababu jana sikuwa jirani na vyombo vya habari ndio maana sikuisikia.
Hahahaah sabasaba ilikuwepo, ila kwenda ndio utata kila mtu yupo bize kuisaka shilingi atakumbuka mambo ya sabasaba...!!??ulikuwa wapi jamani????????
au ulienda 77?
by the way sabasaba ilikuwepo maana sijasikia mtu yeyote mtaani kwetu akiiongelea au nayo imefutwaga?
hahaha so nayo inajifia yenyewe hahahahahaha ................imebaki storyHahahaah sabasaba ilikuwepo, ila kwenda ndio utata kila mtu yupo bize kuisaka shilingi atakumbuka mambo ya sabasaba...!!??
mfupa hauna ulimi msamehe kiduchuAcha ubazazi mkoa wa Mara tangu lini ukawa na wilaya ya Ngara??
Umeuliza vizuri sana, lkn toa na mapendekezo yako uonavyo ww nn kifanyike?Pamoja na juhudi za JPM kuhakikisha anawafikiria sana wanajeshi na mapolisi katika baadhi ya nyadhifa haswa u-DC na u-RC, lakini katika tukio la kushangaza mkoani Mara wilaya ya Ngara kijiji cha Benako majambazi wameteka kijiji kwa masaa matatu.
MY TAKE:
JPM siku anaelezea kwanini amechagua wanajeshi kushika hizo nafasi alisema ni "coz of wanauzoefu na mambo ya usalama" hiyo wilaya ya ngara ipo chini ya LUTENI KANALI. Michael M. Mtenjele.
Sasa kama majambazi watano tu wanafunga kijiji kwa masaa matatu bila ya polisi wala msaada mwingine wowote kufika eneo la tukio, je hizi wilaya zitakua salama kweli kama JPM alivyotuhaidi....?
Mhu umeniacha kapa mtoa mada. Mara-Ngara wapi na wapi? Mhu Hivi siku hizi kuna Geography ya mikoa na nchi kweli? Rudia darasa la tatu au nne.Pamoja na juhudi za JPM kuhakikisha anawafikiria sana wanajeshi na mapolisi katika baadhi ya nyadhifa haswa u-DC na u-RC, lakini katika tukio la kushangaza mkoani Mara wilaya ya Ngara kijiji cha Benako majambazi wameteka kijiji kwa masaa matatu.
MY TAKE:
JPM siku anaelezea kwanini amechagua wanajeshi kushika hizo nafasi alisema ni "coz of wanauzoefu na mambo ya usalama" hiyo wilaya ya ngara ipo chini ya LUTENI KANALI. Michael M. Mtenjele.
Sasa kama majambazi watano tu wanafunga kijiji kwa masaa matatu bila ya polisi wala msaada mwingine wowote kufika eneo la tukio, je hizi wilaya zitakua salama kweli kama JPM alivyotuhaidi....?
Huenda mwakani tutajazwa mapesa, na tutaenda kama zamani ilivyokuwa.hahaha so nayo inajifia yenyewe hahahahahaha ................imebaki story
heh .................. zubutu yako hali itakuwa harijojo kuliko sasa utaniambiaHuenda mwakani tutajazwa mapesa, na tutaenda kama zamani ilivyokuwa.
Tusubiri..!! Hahahaahheh .................. zubutu yako hali itakuwa harijojo kuliko sasa utaniambia
woyee usiwazie mkuu ukiweka akili yako kuwa maisha yataimarika na kiuhalisia hayatakaa yaimarike utaumia zaidiTusubiri..!! Hahahaah
Hahahaah ila kwa staili hii hakuna dalili ya maisha kuimarika kwa kweli.woyee usiwazie mkuu ukiweka akili yako kuwa maisha yataimarika na kiuhalisia hayatakaa yaimarike utaumia zaidi
ni sawa na kusubiri bati ya azam ubungo bus terminal......................
SIO SIKU ZA USONI... KWA HESABU ZA HARAKA HARAKA UCHUMI UMEDORORA!!! NIMEONA MAMBO YA UTALII NAYO YANADORORRA, NIKAPATA HUZUNI SANA KWAKWELIHahahaah ila kwa staili hii hakuna dalili ya maisha kuimarika kwa kweli.
Kwa kweli hapa tulipofikia ni pabaya sana kila kitu vululu vululu.!SIO SIKU ZA USONI KWA HESABU ZA HARAKA HARAKA UCHUNI UMEDIRORA NIMEONA MAMBO YA UTALII NAYO YANADORORRA NIKAPATA HUZUNI SANA KWAKWELI
Tatizo ni elimu,elimu,elimu,,cdhani kama hata ulifaulu shule ya mcng,,,maana naona upeo wako ni wa kulike na co kucomment,,,Pumbavu!kumbe umeandika uzi ili utupangie cha kusema ili tusionekane ccm?