Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Mkuu Chunga Lugha yakoPolisi hawawezi kupambana na uhalifu nchini, Kwanza hawana vifaa vya kutosha, pia polisi wetu hawana uzalendo wa kutetea nchi,
Kazi Ile wamechukulia kama ajira nyingine serikalini,
Pia polisi ni wachache sana kulinganisha na wingi wa watu katika maeneo yote,
Ingiza jeshi mitaani wanafanya nini makambini wanakula mishahara tu Ndio maana wengi wao wana vitambi tu, nchi nyingi duniani zinatumia jeshi na polisi kwa pamoja kuhakikisha nchi inakuwa salama,
Sasa kwetu utasikia wanajeshi kazi yao kulinda mipaka ya nchi, kibaha kuna mpaka gani wa nchi? Pale kuna kambi kama 3 zao, wanafanya nini?
Lazima na wao wale jasho la kazi yao sio kazi yao kuripoti na kurudi kwenye Bar tu kunywa
Sadizim iz inevitabo wen ze situesheni iz alaming