Allency
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 13,730
- 13,099
Alimteka mwenzie hivyo akawa mbunge wa viti maalumu(bila kupingwa).kwani yeye ndio aliyefanya hilo jambo ama?
Alimteka mwenzie hivyo akawa mbunge wa viti maalumu(bila kupingwa).kwani yeye ndio aliyefanya hilo jambo ama?
Kwahiyo ni heri rais ajiongezee majukumu ili kumpunguzia mzigo waziri Mkuu ?Unge orodhesha majukumu ya Mawaziri wakuu waliopita moja na la msingi ni kusimamia Mawaziri wote , haya mengine ni urembo tu.
Kwanza kuwasimamia mawaziri kikazi, kinidhamu na projects zilizo chini ya wizara husika ni kazi nyingi sana kwa Waziri Mkuu.
Sasa hili la investment centre ni katika kujaribu kuongeza Mapato ya serikali kwa kuleta uwekezaji mkubwa, na kutoa ajira kwa watu , na fedha hizo kwenda kwenye miradi ya maendeleo inayosimamiwa na PM, sasa kama hiyo ni shida utakuwa huitaki mema nchi bali fujo na mlo wako.
Eti anawashukuru wapiga kura wake!Huyo ni waziri mkuu aliyetishiwa kutandikwa mashangazi zake
.
Yupo yupo tu, kafanya figisu za kufa mtu ili apite bila kupingwa jimboni kwake!
Waziri mkuu ambaye hajachaguliwa na wananchi!
Alikuwa na nguvu gani wakati hata ofisi yake haikuwepo kwa mujibu wa sheria ?Sokoine Alienda kwenye Matibabu pamoja na masomo Hungary
Aliporudi tu akarudishiwa u PM
sokoine ni kati ya mawaziri wakuuu waliokua na nguvu ; pengine na Kawawa
Duh ?Inakuwaje jiwe ndo aunde baraza la mawaziri wakati keshamteua waziri mkuu, kwengine waziri mkuu akishateuliwa yeye ndo anakuwa na jukumu la kuunda na kuendesha serikali.
Ndiyo huyo huyo jiwe alimwamba atawapiga mashangazi zake akabaki anatabasamu tu,
Naona baada ya kushindwa uchaguzi, watu wanatafuta sehemu nyingine ya kutoa mapovu
Kheri Nape aliondolewa kwenye wizara ya habari, huyo ndiye aliyefunga bunge, akapeleka sheria kandamizi bungeniWala hakuna waziri yeyote kwenye awamu iliyopita ama hii inayokuja anayeweza kufanya kwa kadri ya ubunifu wake , wizara zote ziko chini ya mtu mmoja , Kuondolewa kwa Nape na kuhamishwa kwa Mahiga kwenye wizara ya Mambo ya nje ni ushahidi wa wazi kabisa .
Mpinzani yupi anaitambua serikali hii haramu!?Nafurahi kuona wapinzani wakiwa wanaitambua serikali yao ya awamu ya 5
Nafurahi zaidi kuona wameona sasa hivi Rais anafaa sana baada ya kumtuhumu hafai kwa miaka5 iliyopita, japo sasa wanalalamika kwamba amemteua waziri mkuu asiyefaa
Nina imani hata huyo waziri mkuu ambae wanaona hafai siku sio nyingi watamwona anafaa sana
Kelele za chura hazimzuii tembo kunywa maji, Kassim Majaliwa Kassim chapa kazi..... aliyekupa majukumu anakuelewa na sisi watanzania tunakuelewa sana
Wanaosema Waziri Mkuu hatufaiMpinzani yupi anaitambua serikali hii haramu!?
Hata anayekushusha kwa lifti Ana sababu zake. Umeona Lissu alivyoshushwa kwa lift na Amsterdam ili amchukue aende nae ughaibuni? Amsterdam Ana sababu zake.Yeye mwenyewe ni Mbunge wa viti maalum aliyepita bila kupingwa. Anaekupandisha kwa lift ana sababu zake.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Hata anayekushusha kwa lifti Ana sababu zake. Umeona Lissu alivyoshushwa kwa lift na Amsterdam ili amchukue aende nae ughaibuni? Amsterdam Ana sababu zake.
Mbowe alimwomba Lissu akishapata makazi amkaribishe ughaibuni Sasa Amsterdam kakataa hawezi kubeba viongozi wote wa saccos.Hivi Mbowe yupo wapi?
Hatujasikia sauti yake baada ya drama za Lisu kushindikana, kisha kumuacha kwenye mataa.
Au nae ana mpango wa kuunga juhudi ili apumuzike kwa raha? Maana anaweza kupata ukuu wa mkoa sehemu.
Ndani ya masaa 72 yajayo ntakuwa waziri mkuu wa nchi hii, majamaa yashagaiana vyeo mapemaNimemkumbuka PM wa Tundu bwana Mbowe
Hapo tu mnakwama wazee wa kazi. Wizi wizi wizi kwa nini iwe kwa wabunge na Rais tu? Madiwani ambao kimsingi ndio wako mashinani mbona wame concede?. Hizo false assumptions za kuibiwa kura huwa zinawachelewesha kujenga taasisi zenye nguvu mapema. Huwa nashauri mpige chini uongozi wa saccos yenu na taswira ya kanda pendwa hapo watanzania watawaelewa. Badilisheni uongozi vinginevyo mtaumiza mioyo yenu sanaUmepewa lift halafu unataka, mpaka upige honi? Maana hakuna Mbunge aliyepita kwa nguvu zake zaidi ya kuiba kura
Naunga mkono hojaMitano tena itawatokea Puani mpaka mkome ,na bado inatakiwa awatandike na Mateke kabisa.