Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,531
- 8,615
Katika historia ya nchi hii haijawahi kutokea Waziri Mkuu aliyeporwa mamlaka yake kama Majaliwa
Kiukweli inasikitisha na pengine inaashiria kuwa na bosi asiyeamini uongozi wa pamoja
Mara nyingi Waziri Mkuu amekuwa na majukumu ya Tawala Za Mikoa ambayo ina maana Wakuu wa Mikoa; Wilaya na Wakurugenzi wanakuwa chini yake pamoja na kuwa msimamizi wa mawaziri na mkuu wa serikali bungeni.
Kwa mwendo tulikua nao Waziri Mkuu angalau alibakia na nguvu kwakuwa ofisi ya Uwekezaji ambayo nayo sasa imepelekwa ofisi ya Rais
Tunasubiri sasa kuona atapewa nini lakini hii ina maana kuwa Majukumu ya Ofisi ya Rais yameongezeka lakini zaidi kutakuwa na mawaziri mfano wa Serikali za Mitaa atakuwa na nguvu kuliko PM
Tumtakie Rais uundaji mwema wa baraza lake!!
Alamsiki!
Kiukweli inasikitisha na pengine inaashiria kuwa na bosi asiyeamini uongozi wa pamoja
Mara nyingi Waziri Mkuu amekuwa na majukumu ya Tawala Za Mikoa ambayo ina maana Wakuu wa Mikoa; Wilaya na Wakurugenzi wanakuwa chini yake pamoja na kuwa msimamizi wa mawaziri na mkuu wa serikali bungeni.
Kwa mwendo tulikua nao Waziri Mkuu angalau alibakia na nguvu kwakuwa ofisi ya Uwekezaji ambayo nayo sasa imepelekwa ofisi ya Rais
Tunasubiri sasa kuona atapewa nini lakini hii ina maana kuwa Majukumu ya Ofisi ya Rais yameongezeka lakini zaidi kutakuwa na mawaziri mfano wa Serikali za Mitaa atakuwa na nguvu kuliko PM
Tumtakie Rais uundaji mwema wa baraza lake!!
Alamsiki!