Msukuma Wa Tanga
Member
- Jul 16, 2017
- 33
- 31
Ni mwanzo mzuri,na mimi sina budi kumpa hongera zake mwanaume huyu wa shoka kabisa.Watafikia muafaka tu wa win win situation.sio mmoja apate mmoja aumie.
Hongera hata kwa hatua hiyo Dr Magufuli.
Hapa nakufundisha uachane na umbumbumbu, tukikaa kimya unaweza kuwapotosha sana watu. Hujui chochote halafu unajifanya mjuaji. Ni ushamba huo. Wewe kazi yako ni kupiga domo tu. Nikiwepo mimi hakika huwezi kuleta upuuzi wako huu.Wewe uliingiaje kujibu swali la Mshamba? Au wewe ndiye mshamba zaidi yangu? Au nani alikukataza kuogelea hizo $190b bila ya kujibu swali langu?
....Hahahaaaa, mimi wa kwangu Kibajaji nimeambiwa yupo hivyo tutarajie mambo mswano.Mbunge wangu mimi ni yule wa Ulanga nae yumo?? Ndioooooo
Timu inaundwa na wanasheria, watalaam wa masuala ya madini, wataalam wa masuala ya biashara na wengine wenye kazi maalum.
Kwanza ukumbuke na mimi nimo huo mgao hata kama sipo nyumbaniYataisha lini ? Il cant wait to have my lexus LC500.
....Kwa hiyo TRA wanadai estimated value inayodhaniwa kuibwa au hiyo stahiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wengine bwana, awatumbue au ajitumbue! Kama ameteua vilaza wasiojua maana ya 'economic diplomacy and the art of negotiations', basi ajitumbue mwenyewe au asubiri aibu 2020.Katika hiyo Billion 190 USD, wasipopata hata 10 % tu then Magufuli awatumbue wote!!
Inasikitisha sanaHarafu eti nao ni wazalendo wa tanzania, tuna safari ndefu kufikia uzalendo wa kweli
Fani ya ukomandoo inahusikanaje hapo.Naona kama huyo bwana angefaa zaidi kuongoza kikosi vitani.
Hao wasomi walikua wapi mpaka mikataba ya kijinga inasainiwa??BAVICHA bwana wanaamn wao ndo wanajua kila kitu na nini serikal ifanye.Serikali inawasomi kila idara,sasa kujifanya nyie ndo vichwa sana ni uzwazwa.
posti fromu Nokia kitochi yuzingi jamii forum