Maisha yangu hapa Johannesburg

Maisha yangu hapa Johannesburg

Kanali mwime

Member
Joined
May 5, 2018
Posts
71
Reaction score
171
Wakuu habali za huko tanzagiza! Poleni Sana na majukumu ya kuisoma Namba, tangu nilipotia miguu hapa bondeni namshukuru Sana Mungu napambana si mchezo kuhakikisha naludi Bongo kifua mbele, maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina,

Mwisho kabsa anaetaka kuja huku aje lakini asimtegemee ndugu ama rafiki aje Kama Mimi asijiunge na makundi ya kijambazi atafte kazi lazima atafanikiwa, wilaya nzima ya kahama Mtoto mzawa nimimi ndo nipo south kalibuni sana.
FB_IMG_1530602860533.jpg
FB_IMG_1530602921381.jpg
 
Oh yeah?

More power to you.

Rake in that paper hand over fist.
 
Wakuu habali za huko tanzagiza! Poleni Sana na majukumu ya kuisoma Namba, tangu nilipotia miguu hapa bondeni namshukuru Sana Mungu napambana si mchezo kuhakikisha naludi Bongo kifua mbele, maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina, mwisho kabsa anaetaka kuja huku aje lakini asimtegemee ndugu ama rafiki aje Kama Mimi asijiunge na makundi ya kijambazi atafte kazi lazima atafanikiwa, wilaya nzima ya kahama Mtoto mzawa nimimi ndo nipo south kalibuni sana.
Ulienda lini huko? Halafu yupo mtoto wa kahama hapo anaitwa Ng'wanapagi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina! Miezi mi3 ni michache sana kwa mtafutaji, mi nlikaa miaka 4 visiwa vya Carribean! Acha tamaa, miezi mi3 tu ushaanza kuwaza nyapu! wee utaweza kweli kukaza? umesema unapambana si mchezo.... inaonekana upo busy sana.... sa unapata wapi hisia za nyapu jamaa! BTW huko hakuna GIV?
 
Njia zipi ulitumia kufika huko ni kazi gan unaifanya huko huku bongo haiwezekan?

Unataka kuniambia maisha ya nje ya nchi yako ni mazur kuliko ya nchi yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulimaanisha karibuni sana au kuna kalibu nyingine?
 
kila na heri mkuu,fanya kilichokupeleka huko make sure nawe usiwe mmoja wapo wa wenzetu waliochafua passport yetu.always kumbuka nyumbani..........unjani mtakwetu!!!
 
Hovyo kabisa.
Habali
Kalibuni
Utakuwa umetokea kwa wamwera au wazaramo wa Geza Ulole
 
hahaha wasukuma mna beat hatari... kwamba kahama nzima wewe ndiye upo south.


Wale zeruzeru wakikuona na hizo Rands umekwisha... utachezea bisu au chuma.
 
Wakuu habali za huko tanzagiza! Poleni Sana na majukumu ya kuisoma Namba, tangu nilipotia miguu hapa bondeni namshukuru Sana Mungu napambana si mchezo kuhakikisha naludi Bongo kifua mbele, maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina, mwisho kabsa anaetaka kuja huku aje lakini asimtegemee ndugu ama rafiki aje Kama Mimi asijiunge na makundi ya kijambazi atafte kazi lazima atafanikiwa, wilaya nzima ya kahama Mtoto mzawa nimimi ndo nipo south kalibuni sana.
Wasukuma mnamchagua mzee baba halafu ndo mnakuwa wa kwanza kutukimbia..
Njoo bongo tupambane na hali hadi 2025 atakapoondoka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante ,ila sio ukisikia tumeshafika huko utuzimie simu...!
 
Back
Top Bottom