Maisha yangu hapa Johannesburg

Maisha yangu hapa Johannesburg

maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina! Miezi mi3 ni michache sana kwa mtafutaji, mi nlikaa miaka 4 visiwa vya Carribean! Acha tamaa, miezi mi3 tu ushaanza kuwaza nyapu! wee utaweza kweli kukaza? umesema unapambana si mchezo.... inaonekana upo busy sana.... sa unapata wapi hisia za nyapu jamaa! BTW huko hakuna GIV?
Duuh!! Miaka 4 salute kwako mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu habali za huko tanzagiza! Poleni Sana na majukumu ya kuisoma Namba, tangu nilipotia miguu hapa bondeni namshukuru Sana Mungu napambana si mchezo kuhakikisha naludi Bongo kifua mbele, maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina,

Mwisho kabsa anaetaka kuja huku aje lakini asimtegemee ndugu ama rafiki aje Kama Mimi asijiunge na makundi ya kijambazi atafte kazi lazima atafanikiwa, wilaya nzima ya kahama Mtoto mzawa nimimi ndo nipo south kalibuni sana.
View attachment 844983View attachment 844984
Aca kuzingua watu bana!!! We utakaaa 3months eti umepiga pesa ndefu hivo labda unauza madawaa!! Hata uuze madawa ningumu coz bado unakua unacukuliwa kama newcomer maana ake huwezi kuwa connected kiasi ca kupiga pesa kama hiyoo umeweka hapo!!! Pambana maisha si maonyesho mkuu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
South imeendelea ndio but sioni kama ni nchi nzuri kusaka life, hakuna box pia security iko chini
 
haya wahi sokoni ukanunue mbogamboga usije ukapoteza hizo pesa njiani bosi wako atakutumbua
 
mkuu ukifilisika nitag
naona wenye GPA ya 32 mmeanza kukimbia nchi(just joking)
 
kwa hiyo ndo umeamua kudownload picha ya hizo pesa...
 
Wakuu habali za huko tanzagiza! Poleni Sana na majukumu ya kuisoma Namba, tangu nilipotia miguu hapa bondeni namshukuru Sana Mungu napambana si mchezo kuhakikisha naludi Bongo kifua mbele, maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina,

Mwisho kabsa anaetaka kuja huku aje lakini asimtegemee ndugu ama rafiki aje Kama Mimi asijiunge na makundi ya kijambazi atafte kazi lazima atafanikiwa, wilaya nzima ya kahama Mtoto mzawa nimimi ndo nipo south kalibuni sana.
View attachment 844983View attachment 844984
Sisi tulikuwepo huko kipindi cha Neema!miezi mitatu tu umeshaanza kudownloding picha za mitandao na kupost!![emoji23] Fanya ukimbie Africa sio salama kwa watu wanaojitambua

Sent by Diaspora
 
Wakuu habali za huko tanzagiza! Poleni Sana na majukumu ya kuisoma Namba, tangu nilipotia miguu hapa bondeni namshukuru Sana Mungu napambana si mchezo kuhakikisha naludi Bongo kifua mbele, maisha ya hapa ni mazuri Sana japo tangu nifike miezi mitatu sijawai kupata joto la shemeji yenu hiyo Bahati sina,

Mwisho kabsa anaetaka kuja huku aje lakini asimtegemee ndugu ama rafiki aje Kama Mimi asijiunge na makundi ya kijambazi atafte kazi lazima atafanikiwa, wilaya nzima ya kahama Mtoto mzawa nimimi ndo nipo south kalibuni sana.
View attachment 844983View attachment 844984
Wakati sie tukisindikiza watu kliniki hukuhuku Bondeni wewe unajisifu kutoka Kahama uko peke yako!!![emoji23]. Nenda Durban ndiko utawachoka akina Ngosha wako kibao ila mishe zao kaa nao mbali

North West
 
Back
Top Bottom