A43
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 385
- 757
Jinsi ambavyo tunaweka Utu na UbinAdamu mbele, Msaada na Huruma, Jinsi ambavyo tunafungua milango ya fursa ya mafanikio kwa wenzetu ni tofauti na milango tunayofunguliwa.
Maisha yanatufunza ukatili wa chuki na visasi dhidi ya wenzetu jambo ambalo sio Asili ya Utu na UbiAdamu wetu.
Maisha ni Darasa pana lisilo na mwisho.
Maisha yanatufunza ukatili wa chuki na visasi dhidi ya wenzetu jambo ambalo sio Asili ya Utu na UbiAdamu wetu.
Maisha ni Darasa pana lisilo na mwisho.