Sawa Mkuu..Kwa maigizo hayo ndugu ndo ushaanza kuwehuka wanasema moja ya dalili za ukichaa ni kuanza kujistukia .....live your life acha maigizo.
Tena sana ukiwa na mafanikio wanajifanya wanakupenda sanaSema kuna ndugu miyeyusho sana [emoji23][emoji1787][emoji1787]
Fake it until you make it.. ngoja niendelee kufake we only live onceMimi mtu anayekwenda kusimama karibu au kuegemea kwenye magari ya watu na kupiga picha na kupost mitandaoni huwa namuona Kama kichaa wa kiwango Cha lami.
Mwanaume unatakiwa kuishi maisha yako halisi mambo ya kufake achia wanawake.
[emoji23][emoji23]Fika milembe kwa matibabu zaidi.