Msukuma Original
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 928
- 3,330
Nikifikiria jinsi Mzee wa mavieite alivyokuwa na madharau na jinsi alivyokuwa anawapiga mkwara viongozi waandamizi wa CCM lakini leo hii naye anapigwa mkwara na Chongolo nabaki kujisemea tu dunia inazunguka.
Vijana ishini na watu wote kwa heshima na adabu, hakuna aijuae kesho yake. Polepole huyu alikuwa na jeuri ya kumkoromea yeyote kasoro JPM tu lakini leo amekuwa mdogo kama piriton.
Mwenye video ya Polepole akiwatambia watanzania kuwa anaendesha Vieite atuwekee please.
Vijana ishini na watu wote kwa heshima na adabu, hakuna aijuae kesho yake. Polepole huyu alikuwa na jeuri ya kumkoromea yeyote kasoro JPM tu lakini leo amekuwa mdogo kama piriton.
Mwenye video ya Polepole akiwatambia watanzania kuwa anaendesha Vieite atuwekee please.