Simsikii musiba cyprian pia yule dogo rc wa mara na wastaafu kuwa wampishe naye zamu i.e happyNikifikiria jinsi Mzee wa mavieite alivyokuwa na madharau na jinsi alivyokuwa anawapiga mkwara viongozi waandamizi wa CCM lakini leo hii naye anapigwa mkwara na Chongolo nabaki kujisemea tu dunia inazunguka. Vijana ishini na watu wote kwa heshima na adabu, hakuna aijuae kesho yake. Polepole huyu alikuwa na jeuri ya kumkoromea yeyote kasoro JPM tu lakini leo amekuwa mdogo kama piriton.
Mwenye video ya Polepole akiwatambia watanzania kuwa anaendesha Vieite atuwekee please.
Leo eti na yeye anapinga kupatiwa chanjo ya Corona kama Gwajima!! Ngoja aendelee kujifanya mkaidi! Yaani anapingana na msimamo wa Rais wake!! Angekuwa yule mwingine si angekubai faster tu kuchanjwa!!
Akitolewa kwenye ule ubunge wake wa viti maalum, VII YEITI ataishia tu kuiona ikipita barabarani kama sisi wenzake.
Usije ukacheka Haya mambo, kuna siku Baba, Mama au wewe mwenyewe utaingia huko jelaMbowe ananyea debe
Kutesa kwa zamu.Simsikii musiba cyprian pia yule dogo rc wa mara na wastaafu kuwa wampishe naye zamu i.e happy
Na kijani maharamiaMbowe gaidi
Yaani jamaa walipigwa kitu kizito kichwani, hawakutarajia kabisa.We acha tu. Maisha haya.
Akinda Albert bashiteNikikumbuka kile kipindi chake cha "Papo kwa Hapo" alikuwa akipiga simu viongozi walikuwa wakihaha kweli kujibu maswali yake,sasa hivi nafikri akiwa pigia simu wanaiangalia tu. Awamu ya tano ilitufunza mambo mengi sana maana ilikuwa ina watu waliokuwa hawafikirii hata siku moja kama wataondoka madarakani na kibaya zaidi walijisahau kuset alternative zao vizuri.
Huyu mgonjwa alipiga mamilioni mengi sana kwenye ule mradi haramu wa kununua wapinzani uchwara.Leo eti na yeye anapinga kupatiwa chanjo ya Corona kama Gwajima!! Ngoja aendelee kujifanya mkaidi! Yaani anapingana na msimamo wa Rais wake!! Angekuwa yule mwingine si angekubai faster tu kuchanjwa!!
Akitolewa kwenye ule ubunge wake wa viti maalum, VII YEITI ataishia tu kuiona ikipita barabarani kama sisi wenzake.
Khabare ndo hiyo yakheeAcha ujinga.