Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
haujaniambiaga .ila hujamiss ungenimiss ungejua pa kunipataHivi nlishakuambia nlivokumisi??
haujaniambiaga .ila hujamiss ungenimiss ungejua pa kunipataHivi nlishakuambia nlivokumisi??
nipo.nishaaancha kula ugali wa shikamoo.majukumu yameongezekaUlikuwa wapi siku zote hizi??
Hongera ushakuwa mkubwa sasa. Hiki ndio kipindi kizuri kuja kwa babu nikukague...nipo.nishaaancha kula ugali wa shikamoo.majukumu yameongezeka
haahhaha hivi hujaachaga ukaguzi tu waaachie cheo vijanaHongera ushakuwa mkubwa sasa. Hiki ndio kipindi kizuri kuja kwa babu nikukague...
Vijana hawajui kukagua... wanakodoa kodo tu.haahhaha hivi hujaachaga ukaguzi tu waaachie cheo vijana
hahaha tatizo babu mchoyo huwapi hintsVijana hawajui kukagua... wanakodoa kodo tu.
rahisi sana chai kunywa saa 5 asbh na mchana kula saa 11 -12 jionidah ratiba ngumu sana hiyo.
ndio tatizo, lakini sasa wafanyeje hali yenyewe inataka hivyo....hapo akili lazima idumae, na nguvu ya kufanya kazi itakuwa hamna...
Wanakula kwa mwandamo wa mwezi yaani unapiga dash.biashara hata ya chakula haitoki siku hizi sijui watu wanakula nini.
Wanaume wa mikoani bwana yani story inaanzia mbali wakati hapo unataka tu kumwaga sumuDada mzuri mambo?
Mpaka sasa hivi umeishakagua kama ngapi hivi?Vijana hawajui kukagua... wanakodoa kodo tu.
Nikiwapa wataniibia. Hawa madogo si watu wa mchezomchezohahaha tatizo babu mchoyo huwapi hints
Wewe ulikuwa wa 72.Mpaka sasa hivi umeishakagua kama ngapi hivi?
hahaWanaume wa mikoani bwana yani story inaanzia mbali wakati hapo unataka tu kumwaga sumu
hahaha magu.kabana hawana meno bora nyieeNikiwapa wataniibia. Hawa madogo si watu wa mchezomchezo
Aiseee kweli ww si mtu wa sport sportWewe ulikuwa wa 72.
Hahahaaaaaa... watakuanzishia thread... shauri zakoWanaume wa mikoani bwana yani story inaanzia mbali wakati hapo unataka tu kumwaga sumu
Urudi nikukague tena ili nione kama bado uko vilevileAiseee kweli ww si mtu wa sport sport
Thread ya nini tena?Hahahaaaaaa... watakuanzishia thread... shauri zako