Maisha yamepanda bei

Maisha yamepanda bei

Me nashangaa sana, hela zimebanwa halafu bei za vitu ziko pale pale, wachumi tusaidieni tafadhali...
 
Wacha JPM aendelee kuinyoosha nchi.
Watu walikuwa wameshaharibika maumbo kila mtu KITAMBI, si mtoto, si Askari, hata wazee. Wanawake ndio kabisaaa...msichana mdogo ananenepeana kama kondoo ukimwona kwa mbali hujui anakuja au anaenda!

Magu kanyaga twende baba.
 
hi cuzoo..text me plz simu ilipata shida kwahyo nimepoteza namba zote dia!! miss u..
kingine haya maisha magum mpaka nawaza nijilipue niende kwa Trumph nikawe mkimbizii!! hahah
Hello cuzoo darling.
Hata mimi nimebadilisha simu ila namba zako ninazo kwa notebook, nitakuwasap mpenzi.

Yani maisha yamekuwa magumu jamani hadi tunapotezana!
Sasa kama wewe boss lady wangu unalia mimi itakuwaje?
Uwiiiiiiii

Miss you more sweetheart
 
Kiukweli nawashauri muanze kubana matumizi kabla ya kubanwa nyie.

Maisha yamekuwa magumu sana kuna jamaa angu mmoja yeye anauza mayai ambapo kwa siku alikuwa anauza trei kama 30 laikini sasa mauzo yameshuka mpaka 10.

Pia sasa hivi mimi mauzo yangu hata ya dukani kwangu yamepungua kwa kiasi kikubwa kwani ndo inanifanya nipate tonge la siku kiukweli maisha yamekuwa magumu.

Tunamuomba Rais Magufuli kama hizo pesa zipo aziache kwa mzunguko lakini sijui kama zipo au laa.
 
Back
Top Bottom