RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,751
- 129,472
Una deliver nyumbani?eeh ndugu yangu kamshahara hakatoshi nikaona niingie na mama lishe.
Una deliver nyumbani?eeh ndugu yangu kamshahara hakatoshi nikaona niingie na mama lishe.
hilo neno mpakani umeniacha hoi.Siku hizi Watu wanakula mpakani mwa usiku na mchana
hapana.........ni hapo kwa hapo.Una deliver nyumbani?
Dada mzuri mambo?biashara hata ya chakula haitoki siku hizi sijui watu wanakula nini.
na sie ambao njaa ni ugonjwa sijui tutaishije.wanakula mlo mmoja tu sasa,.....
sijambo kaka mzuri.Dada mzuri mambo?
Mkiwa vimodo na chura atapotea. Duh Mungu asikilize kilio Chetu.tutakuwa vimodo bila kupenda.
ha hahaaSiku hizi Watu wanakula mpakani mwa usiku na mchana
kwani chura wanakutesa?Mkiwa vimodo na chura atapotea. Duh Mungu asikilize kilio Chetu.
Daaaah!!.....kwa kweli natamani mimi ningekuwa ni yule jamaa uliempata hapa JF!!sijambo kaka mzuri.
......naonaje wivu!
Apana na penda kuwaangalia. Ndo kaugonjwa kangukwani chura wanakutesa?
inabidi upangilie hasa, mfano chai unakunywa kati ya mwishoni mwa asubuhi na mwanzo mwa mchana na chakula cha mchana unakula mwishoni mwa mchana na mwanzo wa usiku... japo hiyo milo miwili....na sie ambao njaa ni ugonjwa sijui tutaishije.
ndugu yangu usione wivu kwa usichokijua.Daaaah!!.....kwa kweli natamani mimi ningekuwa ni yule jamaa aliekupata hapa JF!!......naonaje wivu!
![]()
dah ratiba ngumu sana hiyo.inabidi upangilie hasa, mfano chai unakunywa kati ya mwishoni mwa asubuhi na mwanzo mwa mchana na chakula cha mchana unakula mwishoni mwa mchana na mwanzo wa usiku... japo hiyo milo miwili....
wanakula mlo mmoja tu sasa,.....
usijali utapata hata kwa mchina.Apana na penda kuwaangalia. Ndo kaugonjwa kangu