Maisha yamepanda bei

Maisha yamepanda bei

na sie ambao njaa ni ugonjwa sijui tutaishije.
inabidi upangilie hasa, mfano chai unakunywa kati ya mwishoni mwa asubuhi na mwanzo mwa mchana na chakula cha mchana unakula mwishoni mwa mchana na mwanzo wa usiku... japo hiyo milo miwili....
 
inabidi upangilie hasa, mfano chai unakunywa kati ya mwishoni mwa asubuhi na mwanzo mwa mchana na chakula cha mchana unakula mwishoni mwa mchana na mwanzo wa usiku... japo hiyo milo miwili....
dah ratiba ngumu sana hiyo.
 
Back
Top Bottom