Maisha yamepanda bei

Maisha yamepanda bei

Sasa pesa ina thamani ukiwa na elfu kumi uijali , tunasubiri kushushwa bei za bidhaa mbalimbali.
 
Kiukweli nawashauri muanze kubana matumizi kabla ya kubanwa nyie.

Maisha yamekuwa magumu sana kuna jamaa angu mmoja yeye anauza mayai ambapo kwa siku alikuwa anauza trei kama 30 laikini sasa mauzo yameshuka mpaka 10.

Pia sasa hivi mimi mauzo yangu hata ya dukani kwangu yamepungua kwa kiasi kikubwa kwani ndo inanifanya nipate tonge la siku kiukweli maisha yamekuwa magumu.

Tunamuomba Rais Magufuli kama hizo pesa zipo aziache kwa mzunguko lakini sijui kama zipo au laa.
Kwa mwendo huu pesa lazima ipande thaman ukiwa na elfu kumi unaijali na vitu vitapungua bei
 
Kwa mwendo huu pesa lazima ipande thaman ukiwa na elfu kumi unaijali na vitu vitapungua bei
hakuna cha kupungua bei ndo kwanza vinapanda unga wa sembe kilo moja ilikuwa 1200 nw ni 1300-1400 dah sasa sijui hii pesa ndo inaenda kufanya ujenz wa bomba au ndege tena yaan sielew
 
Mshikaji mmoja huwa anakuja hapa alikuwa na tumbo kuubwa siku hizi naona linashuka tu nikimwuliza anasema stress,Magu kakaza
 
Anaamin kuishi kama mashetani ndio maendeleo ya nchi....
 
Unishtue nikupitie na bodaboda... kale kavitz nshakapiga bei. Sio kwamba nimeshindwa kukagharamia, bali nakwepa foleni kwa amani na upendo.
Hahahaha umeonaee foleni nayo inasumbua sana
 
Back
Top Bottom