emmanuel mhecha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 933
- 547
Sasa pesa ina thamani ukiwa na elfu kumi uijali , tunasubiri kushushwa bei za bidhaa mbalimbali.
Kwa mwendo huu pesa lazima ipande thaman ukiwa na elfu kumi unaijali na vitu vitapungua beiKiukweli nawashauri muanze kubana matumizi kabla ya kubanwa nyie.
Maisha yamekuwa magumu sana kuna jamaa angu mmoja yeye anauza mayai ambapo kwa siku alikuwa anauza trei kama 30 laikini sasa mauzo yameshuka mpaka 10.
Pia sasa hivi mimi mauzo yangu hata ya dukani kwangu yamepungua kwa kiasi kikubwa kwani ndo inanifanya nipate tonge la siku kiukweli maisha yamekuwa magumu.
Tunamuomba Rais Magufuli kama hizo pesa zipo aziache kwa mzunguko lakini sijui kama zipo au laa.
hakuna cha kupungua bei ndo kwanza vinapanda unga wa sembe kilo moja ilikuwa 1200 nw ni 1300-1400 dah sasa sijui hii pesa ndo inaenda kufanya ujenz wa bomba au ndege tena yaan sielewKwa mwendo huu pesa lazima ipande thaman ukiwa na elfu kumi unaijali na vitu vitapungua bei
Mzee wa short and clear, its good, ila ningependa kuona unafunguka zaidi. Avoid too much brevitywanakula mlo mmoja tu sasa,.....
🙂 .....natamani hiyo bahati ya kuwa/kuishi na dada mzuri ingeniangukia mimi jamani!ndugu yangu usione wivu kwa usichokijua.

hahaaa.......loh usitamani majanga.🙂 ........natamani hiyo bahati ya kuwa na dada mzuri ingeniangukia mimi jamani!![]()
Wewe siyo majanga ng'oo!.....wewe ni dada mzuri!hahaaa.......loh usitamani majanga.

mie kama Trump............Wewe siyo majanga ng'oo!.....wewe ni dada mzuri!![]()
hahahaa ni.mwendo.wa kusingizia diet tututakuwa vimodo bila kupenda.
nimeanza diet kumbe mfuko hauna kitu.hahahaa ni.mwendo.wa kusingizia diet tu
hahaha naa mamiss si ndo tutakaukiana lolnimeanza diet kumbe mfuko hauna kitu.
Hahahaha umeonaee foleni nayo inasumbua sanaUnishtue nikupitie na bodaboda... kale kavitz nshakapiga bei. Sio kwamba nimeshindwa kukagharamia, bali nakwepa foleni kwa amani na upendo.
Hivi nlishakuambia nlivokumisi??hahaha naa mamiss si ndo tutakaukiana lol
haujaniambiaga ndo tumegongana leo lol misss u tooHivi nlishakuambia nlivokumisi??
Ulikuwa wapi siku zote hizi??haujaniambiaga ndo tumegongana leo lol misss u too