Maisha ya ubachela ni vituko

Maharage yanapikwa usiku wa manane ikifika asubuhi yanaliwa na chai....

[emoji23] [emoji23]
 
Hatar sana huwa mizinguo tu ila hata wao ni zero kwenye kupika..

Namm nimemfuata yy yani najua kusonga ugali tu mboga usiniambie..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wazee wetu huwa mbwembwe nyingi ila kwenye kupika ndo zero! Umenikumbusha mzee alipika ugali mtepe enzi hizo, sasa ole uinuke mapema, ni nakoz tu
 
Soksi zenyewe nafua bila shida..
Msisahau kuoga na kufua makufuli ni mitihani mingine ya ubachela aachilia mbali ile harufu pendwa ya soksi
Tatizo surali za jinzi, shati ni changamoto sana..
 
Mayai yaliyo ungwa nyanya na kachumbali ndo mboga kuu..
 
Wewe bila shaka utakuwa ni Junior bachelor, Senior bachelao hawezi kuwa hivi...huu ni uchafu uiopitiliza!
 
Mimi nina miaka zaidi ya mitano sijatumia net na nipo dar makao makuu ya mbu.
Ule usumbufu wa chomoa chomeka halafu ukizingatia muda mwingine nafika niko maji nikajikuta nishaisahau net milele.
Hata nikienda guest, utaratibu haubadiliki.
 
Huo si ubachela, huo ni uchafu grade A

Dj piga kibao cha 'sifa za kijinga' cha Mr Ebbo kiwafikie waunga mkono wote [emoji3]
 
We acha tu wengine ambao hatuna ma dereva unarudi ukipaki umechoka yani hata hicho chakula kwenda kununua unasahau, nashukuru kuna jirani kwa mbali kidogo anakaanga visamaki huwa nampigia simu apike na ugali aniletee namlipa ila mwiko vyombo vichafu kwangu maana ni kukaribisha mende, ninavyowachukia sasa
 
ni mwezi wa 6 sasa toka ninunue neti mpya na kuichomeka sijawahi kuichomoa yaani mpaka inanuka vumbi aiseeee....mashuka yakichafuka yanapandiana tu kwa bed maana kufua kwa wiki2 mara moja
 
Nilijua ni mm pekee angu, Yaani namwaga maji hafu naweka mengine ikinizingua naitupa kabisa.

SIPENDI KUFUAAA wala KUPIKA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hivi ni vituko uswahilini
 
Apa tutawajua wasafi na wachafu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…