Silivian Member Joined Nov 13, 2022 Posts 90 Reaction score 218 Jan 1, 2026 #1 Kumuokoa mwanaume, mpe michongo.. Kumuokoa mwanamke, mpe mwanaume..
Infropreneur JF-Expert Member Joined Aug 15, 2022 Posts 13,302 Reaction score 28,701 Jan 1, 2026 #2 Kwanza jiokoe mwenyewe kabla ya kuokoa wengine. Usisubiri kuja kuokolewa.
Mobutu JR JF-Expert Member Joined May 10, 2023 Posts 7,838 Reaction score 16,984 Jan 1, 2026 #3 Kuna wengine hapa Dar, kumwokoa mwanaume ni kumpa mwanaume.
Marco Seth JF-Expert Member Joined Oct 21, 2022 Posts 4,939 Reaction score 6,087 Jan 1, 2026 #4 Ni kusaidiana tu
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 50,953 Reaction score 142,217 Jan 1, 2026 #5 Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee
Vien JF-Expert Member Joined Mar 6, 2020 Posts 7,492 Reaction score 12,274 Jan 1, 2026 #6 Kila mtu anahitaji pesa, labda katika huo uokoaji njia mnazotumia sio za kawaida
Silivian Member Joined Nov 13, 2022 Posts 90 Reaction score 218 Jan 1, 2026 Thread starter #7 min -me said: Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee Click to expand... 2/10
min -me said: Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee Click to expand... 2/10
A man from Island JF-Expert Member Joined Aug 13, 2020 Posts 469 Reaction score 992 Jan 1, 2026 #8 Infropreneur said: Kwanza jiokoe mwenyewe kabla ya kuokoa wengine. Usisubiri kuja kuokolewa. Click to expand... Perfect kabsa, Hata mim hii kaul nimeugundua kwa sasa, usisubl raman na michongo ya kutengenezewa, usisubl flan cjui akusomee mchongo mahali, ndgu yangu! utasugua sana, utasugua hadi ushangae, utajikuta unapoteza muda na miaka inasonga! Michongo pambana wew kama wew kutengeneza mchongo mwenyewe, chakalika unavyoweza wew ndo uwe raman yenyewe, usisubl raman ya kucholewa, jicholee wew mwenyewe raman.
Infropreneur said: Kwanza jiokoe mwenyewe kabla ya kuokoa wengine. Usisubiri kuja kuokolewa. Click to expand... Perfect kabsa, Hata mim hii kaul nimeugundua kwa sasa, usisubl raman na michongo ya kutengenezewa, usisubl flan cjui akusomee mchongo mahali, ndgu yangu! utasugua sana, utasugua hadi ushangae, utajikuta unapoteza muda na miaka inasonga! Michongo pambana wew kama wew kutengeneza mchongo mwenyewe, chakalika unavyoweza wew ndo uwe raman yenyewe, usisubl raman ya kucholewa, jicholee wew mwenyewe raman.
Xiao qui shui JF-Expert Member Joined Feb 26, 2022 Posts 6,352 Reaction score 11,107 Jan 3, 2026 #9 min -me said: Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee Click to expand... Wao wanakupa hiyo michongo ya pesa?
min -me said: Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee Click to expand... Wao wanakupa hiyo michongo ya pesa?
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 50,953 Reaction score 142,217 Jan 3, 2026 #10 Xiao qui shui said: Wao wanakupa hiyo michongo ya pesa? Click to expand... Ndio
Natafuta Ajira JF-Expert Member Joined Mar 25, 2020 Posts 12,668 Reaction score 35,441 Jan 7, 2026 #11 min -me said: Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee Click to expand... Angalao ukiwapa michongo wanaume pesa itashuka mpaka kwa wanawake, lakini ukiwapa michongo wanawake pesa haizunguki mpaka kwa wanaume. Mwanaune akipata hela wazo la kwanza ni kum-spoil mwanamke wake. Mwanamke akioata hela wazo la kwanza ni kumwondoa mwanaune kwenye maisha yake
min -me said: Hata wanawake wanahitaji michongo ya pesa usiwachukulie poa bwashee Click to expand... Angalao ukiwapa michongo wanaume pesa itashuka mpaka kwa wanawake, lakini ukiwapa michongo wanawake pesa haizunguki mpaka kwa wanaume. Mwanaune akipata hela wazo la kwanza ni kum-spoil mwanamke wake. Mwanamke akioata hela wazo la kwanza ni kumwondoa mwanaune kwenye maisha yake