Maisha ya sasa ya msanii Saida Karoli

Maisha ya sasa ya msanii Saida Karoli

Umeandika ukweli mtupu
Lakini wasanii wenzake walijaribu kumnyanyua mwaka 2017, 2018 kuna wasananii walimshirikisha kwenye nyimbo kadhaa na kutumia nyimbo zake za zamani.

Maisha siyo tu kupewa pesa, tatizo ni akili zetu wenyewe. Ukifikiria kwa pesa hata kidogo alizopata kwenye muziki asngeweza kufanya biashara au kilimo akajikwamua kiuchumi?

Hapaswi kulaumiwa yeyote kwa maisha ya mtu binafsi, ni hali ambazo mhusika mwenyewe huzisababisha.

Maisha haya dahh!
 
Alishauza haki zake za kisanii Kwa Felician Muta kwaiyo anakula mafao yake!
 
Back
Top Bottom