Ukiwa na uhakika kupata pato la hata laki sita plus au hata chn yake kutegemeana na mazingira unayoishi nakushauri yafuatayo hususani kama hujatoka royal family:
1. Epuka maisha ya anasa yasiyokuwa na maana/ achana na zile kauli za kusema "ponda maisha" wakati hujui hcho kipato kitaishaje?
2. Achana na ulaghai wa wana siasa uchwara, jitahidi kila mwezi uwe unapeleka hata elfu 40 au 50 pale NSSF angalau kwa muda wa miaka 15 mfulululizo, hautajutia..
3. jitahidi sana kujifunza kuhusu fixed account hususani kwa mabenki yanayotoa interest rate kubwa
4. achana na mambo ya AMIS UTT kama pato lako ni la chini ya milion 50.
5. jitahidi kwenda maeneo ya wilaya ambazo hazijachangamka hususani zilizo bush, nunua ardhi (huko gharama bado ni vitonga)
6. jitahd kujenga hata kama ni chumba na sebule ya kwako
-acha kujifanya eti unataka uwe na milion 30 ndo uje ujenge (kama huwez kujenga chumba na sebule, basi kipato kikisha utakuja kupanga chumba na sebule)