aise
JF-Expert Member
- May 16, 2018
- 7,518
- 21,132
š¤£Kuna nchi zina utaratibu wa kulinda wasanii?
š¤£Kuna nchi zina utaratibu wa kulinda wasanii?
Lakini wasanii wenzake walijaribu kumnyanyua mwaka 2017, 2018 kuna wasananii walimshirikisha kwenye nyimbo kadhaa na kutumia nyimbo zake za zamani.
Maisha siyo tu kupewa pesa, tatizo ni akili zetu wenyewe. Ukifikiria kwa pesa hata kidogo alizopata kwenye muziki asngeweza kufanya biashara au kilimo akajikwamua kiuchumi?
Hapaswi kulaumiwa yeyote kwa maisha ya mtu binafsi, ni hali ambazo mhusika mwenyewe huzisababisha.
Maisha haya dahh!